Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Feyzal mie pia ikabidi nitoke nitafute boda boda akanipeleka Kongowe aisee. Kuuunguni balaaa, afu kelele noma, wenye mipombe, wenye mahaba yao vyumbani, wenye kupigana makofi ya vurugu, wenye kupigana makofi ya sambusa ya papuchi yaani Ta Ta Tah Tah Tah, basii purikushani tuu. Alafu muonekano kwa nje iko Poa kweli.... Nyambaf
Mimi sikwenda mwenyewe nilikua natoka zangu mishe sasa kuna dada mmoja hivi alinizidi miaka 5+ ila ilikuwa sikuwahi kula siku hiyo ndo akawa anataka gemu sasa nikamtumia buku 20 achukue room kabisa khaa si kaleta ubahili akaenda pale kuchukua room ya elfu 10 ***** tulipata hasara ikabidi atoe na ile 10 iliyobakia nikaongeza na nyingine tukaenda sehemu nyingine...ukiona kwa nje iko poa ila ndani tanda la zege tv haifanyi kazi yaan kupo rafu vurugu tupu afu nje ndo bar jau jau *****
 
Mimi sikwenda mwenyewe nilikua natoka zangu mishe sasa kuna dada mmoja hivi alinizidi miaka 5+ ila ilikuwa sikuwahi kula siku hiyo ndo akawa anataka gemu sasa nikamtumia buku 20 achukue room kabisa khaa si kaleta ubahili akaenda pale kuchukua room ya elfu 10 ***** tulipata hasara ikabidi atoe na ile 10 iliyobakia nikaongeza na nyingine tukaenda sehemu nyingine...ukiona kwa nje iko poa ila ndani tanda la zege tv haifanyi kazi yaan kupo rafu vurugu tupu afu nje ndo bar jau jau *****
Sasa wewe TV ya nini, au kwako huna TV, mm nikiendanga sinaga habari na TV kazi iliyonipeleka pale ni moja tuu
 
Mimi sikwenda mwenyewe nilikua natoka zangu mishe sasa kuna dada mmoja hivi alinizidi miaka 5+ ila ilikuwa sikuwahi kula siku hiyo ndo akawa anataka gemu sasa nikamtumia buku 20 achukue room kabisa khaa si kaleta ubahili akaenda pale kuchukua room ya elfu 10 ***** tulipata hasara ikabidi atoe na ile 10 iliyobakia nikaongeza na nyingine tukaenda sehemu nyingine...ukiona kwa nje iko poa ila ndani tanda la zege tv haifanyi kazi yaan kupo rafu vurugu tupu afu nje ndo bar jau jau *****
Ulitumia condom lakini?
 
Nililala nyumba ya wageni ya bei ya chini (5000-). Kulikua na chemba ya choo dirishani mwa chumba nilicholala....! Mmmh.. Kilichotokea siri yangu ila papuchi niliikosa kizembe. Ikanilazimu niandae game siku iliyofuata nikajilia mzigo saaaaaafi
 
Ahahahahaha eti Eliza, vipi mzeebaba naweyalikukuta nini
hahah.... nilikuwa nna kamchepuko kangu kanaitwa eliza hapo udsm sema me nilikuwa najua matatizo yake ya pumu coz nimetoka nacho mbali tangu secondary 😂😂 ilikuwa kakizidiwa nampigia simu mama ake mdogo anakafata
 
hahah.... nilikuwa nna kamchepuko kangu kanaitwa eliza hapo udsm sema me nilikuwa najua matatizo yake ya pumu coz nimetoka nacho mbali tangu secondary [emoji23][emoji23] ilikuwa kakizidiwa nampigia simu mama ake mdogo anakafata
Ndugu km bado uko nae usimuache Yuko vizur vibaya ile mihemko yake balaa nakule kujikunja kunja nikaona huyu ashafika kwenye mlima kileleni kabisa kumbe pumu tayari Daaah
 
Mimi nilipokuwa mdogo nilikuwa nafikiri guest ni kwa ajili ya kufikia wageni walio kwenye safari zao kumbe nilikuwa najidanganya tu![emoji53][emoji53][emoji53]
Kimsingi mantiki yake ndio hiyo, ila watu wanachakachua. Na hayo yapo sana sana. Fikiria mfano hai Njia ya watembea kwa miguu LAPITA GUTA, GARI, MKOKOTENI, PIKIPIKI, nk
 
Back
Top Bottom