Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Nilienda kufanya kazi kwenye kisiwa kimoja ziwa victoria, gesti ni za mabanzi, ilipofika usiku gesti nzima ilikuwa kama karakama ya kutengenezea milango!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] yani nimecheka kwa sautiii, yani rooms zote mlikua busy kutengeneza furniture zenu . Jf idumu
 
heheh bang kok,uliopoa mwanaume ukijua mwanamke nini maaana kule ndo kunaongoza kwa maladyboy.Kuna msala uliwatokea washkaji dizaini hyo halafu mpaka leo hawajui kuwa najua.
 
Bangkok, Pattaya, Phuket, Chiang Mai. Hapa kuna wale wanaitwa ladyboys na kutofautisha Kati ya girls and boys ni ngumu.

kabisa kaka... mimi hii ilinikuta bangkok pembeni kidogo ila mwenyeji wangu akaniambia huko pattaya ndio kama nyumbani kwao wamejaa kama uchafu yan...
 
heheh bang kok,uliopoa mwanaume ukijua mwanamke nini maaana kule ndo kunaongoza kwa maladyboy.Kuna msala uliwatokea washkaji dizaini hyo halafu mpaka leo hawajui kuwa najua.


umejuaje mdau... ndio kilichonikuta... ukifatilia mtiririko wa hii thread nimeandika huo mkasa
 
heheh bang kok,uliopoa mwanaume ukijua mwanamke nini maaana kule ndo kunaongoza kwa maladyboy.Kuna msala uliwatokea washkaji dizaini hyo halafu mpaka leo hawajui kuwa najua.

kumbe unawachora tu hhahaha... mimi nilitoka mbio pombe zilikata nikaenda kujisalimisha kwa mwenyeji wangu akanicheka sana
 
Mkuu hiyo research umedanya wapi ulitakiwa useme vitanda vingi vya kamba ningekuelewa tutake radhi mkuu Zanzibar hata 5 star Hotel Zina vitanda vya zege na sikama wanashindwa kueka vitanda vya kawaida per day gharama 400,000 hakuna sehemu anakosekana maskini katika huu ulimwengu Mbwa Baba ako na mama ako.
 
Labda atakuwa mimi, sipendagi ujinga wa ubahili
Gyole Gyoleeeeee . unacheza wewe labda kama nimekukuta hapo hapo guest !. Ila nimetoka na wewe hukooo mpaka hapo guest alafu utake kubana NALALA MBELE NA WEWE, utajuta kunikubalia NASEMA UTAPATA MSALA WENYEWE SI WA KITOTO , UTAKUWA NI WA UUMBWAAA KHOKHOHHHH
 
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] is dah you made my day
 
umerukaruka weeee mwisho wa picha umekiri mwenyewe umasikini wenu......nyumba kibao vitanda ni vya kamba mamaee zenu halafu mnatembea sana peku ina maana ela ya kununua viatu mmekosa....
sitasahau nilienda huko kijijini kwenu nikakuta waya wa umeme umepita kwenye mti badala ya kwenye nguzo......mshukuruni sana bakhresa na ile azam sealink yake inayobeba vyakula kila ijumaa na kuja navyo huko
 
Unajua nini,,,, nitakwambia tu siwezi ingia hii lodge, Ikitokea niingie halafu npakute ovyo silali apo ukilazimisha nakutoroka
 
Unajua nini,,,, nitakwambia tu siwezi ingia hii lodge, Ikitokea niingie halafu npakute ovyo silali apo ukilazimisha nakutoroka
Sio rahisi ka unavosema, mada inazungumziwa ni mambo yaliyokutokea zamani. Lakini sasahivi mie nalala guest za kuanzia 30,000/= kwenda juu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] speed kali ukahisi jini au vipi
 
umejuaje mdau... ndio kilichonikuta... ukifatilia mtiririko wa hii thread nimeandika huo mkasa
Kuna wanangu tulikuwa batani singapore inafika saa 10 wamelewa chakari,tukawa tunatoka kurudi majumbani,mi stumii pombe so niko macho makavu sasa wakati tunaelekea kwenye gari tukapishana na 'mademu' washkaji wakawa wanawasalandia mi nkawaonya jamani nyie mshalewa,na hili eneo sio zuri mtakuja kubeba vitu visivyoeleweka,wakaniona mi fala,eti wakajihakikishia kwa kuwashika maziwa na kupapasa pale kati,mademu gani wana sauti nzito vile.,alafu nahisi kuna wengine wanatoa kabisa mkuyenge mana jamaa alipapasa kabisa akaona hamna kitu.wakawaopoa bwana.kilichofuatia hapo ni majuto.bahati nzuri hata mimi hawajui kama najua.na mie nmejitolea kuwafichia siri.

Kuna mmoja mbongo kabisa yupo hong kong naye kajibadilisha huwezi kumjua kama nidume mpaka akuongeleshe ndo usikie bezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…