Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

ilikuwa siku moja kabla ya kurudi bongo baada ya wiki nzima ya mishemishe bangkok sasa nikasema lazima nile malaya wa kithailand... kuna red light street moja ipo kama unatoka bangkok nikazama mzee mida kama saa nne usiku nikala bia za kutosha sasa nikicheki hizi malaya kibao wakikuona mgeni wanakumendea

kuna moja hilo lilikuwa lina bonge chura na Boobs za kubust zile nikasema yeeees ndio mambo yangu haya

nikamwita kwa ishara ya mkono akaja baada ya kuongea naye bei akasema kama sina thailand Bhaht 1300 basi nimpe USD 40 usiku mzima nikasema haina mbaya ilimradi fantasy yangu itimie

room akasema palepale pub kuna rooms nzuri tu hapo kashaniruhusu nimpapase kifua ila mkono hataki kabisa nipeleke kunako papuchi

basi hao tukaingia room piga romance sana sasa akaanza zile za kizungu.. akanisukuma kitandani alafu akasimama mbele yangu anavua nguo mambo kote yalienda fresh

akabaki na chupi akaniuliza nakumbuka hadi maneno "how would u like it? i take it first or u will take it first or am all yours?" bado nang'aa sharubu nashangaa

akatoa chupi mungu wanguuuu demu ana dudu bhna yani hapo ndio nikakumbuka kuwa bangkok kumejaa wale SHEMALES huku bado nikiwa katika taharuki

akaanza kunambia dont be dissapoited bby there is always a first time in everything

nakumbuka nilimpa hela yake na kutoka mbio pombe zote zimeniisha.. nikamsimulia mwenyeji wangu akanicheka sana.. akasema wenyewe kule wanawaita kayote

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu nmecheka sana. Pole asee
 
Wakuu naiwasilisha na yangu swezi kusahau hii siku katika maisha yangu.
Nakumbuka ilikua mwaka 2016 nilipokua chuo nairobi nilipata dem kutoka eldoret akaamua kuja kunitembelea nikamkodia room katika guest house moja ya chati tu,tulitembea na ilipofika jioni tukarudi zetu na kutaka kuandaana kubadilishana mawazo,katika hali ya kugusa hapa na pale kuandaana nilipiga bao 3 ndani ya dakika 10 badala ya hapo mnyama alilala kma kazimia aisee dem alilia na lipatwa na mshangao sana ila niliamua kumuongezea siku za kukaa pale na nikatak kumhakikishia mie sio fala badala ya mungu anisamehe kilichomkuta.....

Bao tatu dk 10 asee nimecheka kifala sana
 
Nimekumbuka siku nimemchukua dem wangu alikuwa katembelewa na rafiki ake geto kwake tukaona hatuwezi kulala hapo tukalale guest. Tumechukua chumba guest moja maeneo ya tabata savanna dah kuingia ndani feni halizunguki tukahama chumba, kwenda chumba cha pili ambacho kina afadhali kidogo nmemuandaa mama vzuri kabisa mara oh chaga zimechomoka kidogo mtoto wa watu avunjike mgongo. Nilienda muita mhudumu nikammind hatari kabisa. Nikamwambia kwa hasira natoa chaga naweka godoro chini kesho yake watengeneze kitanda akakubali. Asee show ya chini ni tam asikwambie mtu
 
Nilienda kufanya kazi kwenye kisiwa kimoja ziwa victoria, gesti ni za mabanzi, ilipofika usiku gesti nzima ilikuwa kama karakama ya kutengenezea milango!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo Dar hata hoteli za bei bado ni balaa, nimewahi kulala kwa moja ila usiku ukawa mrefu kisa miguno ya Dada aliyekua analiwa kwenye chumba jirani.
Nilitegemea wamalize mchezo ndani ya dakika 15 ili nipate amani, ila sijui jemba lilikua limekula nini maana dah nusra wakeshe.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wakuu kuna gest moja niliwahi kulala maeneo flani hivi Duuuuu. Niliingia saa 8 mchana nikitoka safari yangu kwenda mkoa kucheki kibarua. Aiseee Mhudumu wa pale aliGONGWA NA WATU 7 Tofauti tofauti mzee duu nikachoka alafu akawa ananiuliza kwani unamtu utalala nae nije tulale wote !?? Nikamjibu ndio akawa anazunguka zunguka kaa Kishada kuandalia kama kunamtu naingiza. Asubuhi akawa ananilaani kweli eti wewe sio Mwanaume, unalalaje pekeyako na baridi wakati sie tupo! Kimoyomoyo nkanasonya nyoooooo kafilie mbali hukooo! Naomba kuwasilisha vituko vya magest
 
Wakuu kuna gest moja niliwahi kulala maeneo flani hivi Duuuuu. Niliingia saa 8 mchana nikitoka safari yangu kwenda mkoa kucheki kibarua. Aiseee Mhudumu wa pale aliGONGWA NA WATU 7 Tofauti tofauti mzee duu nikachoka alafu akawa ananiuliza kwani unamtu utalala nae nije tulale wote !?? Nikamjibu ndio akawa anazunguka zunguka kaa Kishada kuandalia kama kunamtu naingiza. Asubuhi akawa ananilaani kweli eti wewe sio Mwanaume, unalalaje pekeyako na baridi wakati sie tupo! Kimoyomoyo nkanasonya nyoooooo kafilie mbali hukooo! Naomba kuwasilisha vituko vya magest
Maeneo gani
 
Mimi kuna siku nimefika Mwanza usiku, mida ya saa nane usiku, tafuta guest, zote zimejaaa, dereva teksi akanipeleka moja hiyo, kufika pale nimeshusha na vitu vyangu, mhudumu akaniambia nilale nae kwenye chumba chake halafu hela nimpe yeye, nikamwambia nipeleke reception, nilivyofika nikapewa chumba, kilikuwa kibaya, ikabidi nitandike vikoi vyangu aisee, nikaona hapa ngoja nijiegeshe Masaa mawili halafu niendelee na safari, sijatulia mademu wawili wakaja, mmojawapo ana tako hatari, wakaniambia niwape hela kidogo walale na mimi, nikawafukuza, natoka nje namkuta dada mmoja anaanika nguo zake yupo uchi wa mnyama.
Halafu ndio ilikuwa first time nafika hapo.
 
Mimi kuna siku nimefika Mwanza usiku, mida ya saa nane usiku, tafuta guest, zote zimejaaa, dereva teksi akanipeleka moja hiyo, kufika pale nimeshusha na vitu vyangu, mhudumu akaniambia nilale nae kwenye chumba chake halafu hela nimpe yeye, nikamwambia nipeleke reception, nilivyofika nikapewa chumba, kilikuwa kibaya, ikabidi nitandike vikoi vyangu aisee, nikaona hapa ngoja nijiegeshe Masaa mawili halafu niendelee na safari, sijatulia mademu wawili wakaja, mmojawapo ana tako hatari, wakaniambia niwape hela kidogo walale na mimi, nikawafukuza, natoka nje namkuta dada mmoja anaanika nguo zake yupo uchi wa mnyama.
Halafu ndio ilikuwa first time nafika hapo.
Ikawaje baada ya kumkuta uchi
 
Back
Top Bottom