boris maganga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 382
- 378
Mkuu,hyo kilo 1 kwa siku mmmh labda mazoezi gani ulikua unatumiaNiliwahi Kuwa mnene hadi nikawa najikatia tamaa jinsi nilivyo,unene usikie kwa jirani unachosha sana,kilo zangu hazikuwa chini ya kg120.sasa hivi Nina kg70.,kama unapiga gym na wewe ni mnene usinyanyue vyuma we pendelea kukimbia na kuruka kamba au kuendesha baskel Mazoezi haya yanapunguza mwili kwa kasi kuliko ..unapotoa jasho jingi ndivyo na uzito unashuka kwa haraka,Mimi nilifikia kuondoa hadi kilo 1 kwa siku.!
Mpende asiye kupenda utapungua.Natamani sana kupungua ndugu zangu nilijitahidi sana na diet ila kwa sasa imenishinda
Ha ha haaaaa nani hiyo natamani kumjua nimechekaaaa aiseehKuna Mmoja Asipo Kuja Nitamleta Hata Kwa Fimbo
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mimi niliwahi kuwa mwembamba sasa hivi nafukuzia kilo 100.
Yaani kama nimepewa tenda ya kunenepa.🙄
Mazoezi na diet yanahitaji ujikane aisee si mchezo kuacha chipsi soseji zinakupita hivihviMimi nashindwa kufanya mazoezi wala diet, Nikifanya mazoezi two weeks haziishi naingia majaribuni napumzika[emoji21]
Acha tuu ntajaribu tena maana nielekeako mmmhMazoez na diet yanahitaji ujikane aisee si mchezo kuacha chipsi soseji zinakupita hivihvi
Kama huwezi vyote kunywa maji ya moto na limao asbh na jion inasaidia me ndo ninvyofanya hayo mengine yanataka moyo utaanza siku mbili ya tatu umeshaachaAcha tuu ntajaribu tena maana nielekeako mmmh
Una utani na Miss Natafuta[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kuna Mmoja Asipo Kuja Nitamleta Hata Kwa Fimbo
Sawa ntaanza kesho nioneKama huwezi vyote kunywa maji ya moto na limao asbh na jion inasaidia me ndo ninvyofanya hayo mengine yanataka moyo utaanza siku mbili ya tatu umeshaacha
Kivipi nduguMpende asiye kupenda utapungua.
Wakati wewe unampenda yeye hakupendi.hapo ndipo utakapoona kilo zinaanza kukata taratibu.Kivipi ndugu
mazoezi mepesi mepesi yanakata uzito kwa harakaMkuu,hyo kilo 1 kwa siku mmmh??? Labda mazoez gan ulikua unatumia
BongeeeMimi nashindwa kufanya mazoezi wala diet, Nikifanya mazoezi two weeks haziishi naingia majaribuni napumzika[emoji21]