TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
hivi ule U DAS ulirejeshewa ?Wanaondoa watu/viongozi, Ofisi, munutes na madokezo yote yanabaki ofisini kwa utekelezaji zaid.
Hivo, usihofu lolote. Karibu CCM tuijenge Nchi mkuu.
Maisha haya??? Nitamlilia Kijazi milele.Kwa sasa hata Chadema ikiitisha kikao cha baraza kuu hakitaweza tena kuwavua uanachama akina Halima James Mdee.
Dr Bashiru amekalia kiti chenye nguvu sana!
Kwani Kijazi kafa kwa makusudi?...!!Nafasi ya Bashiru kwio[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani Kijazi kafa kwa makusudi??? Ile nafasi ina wenyewe na sio mashinji
Kama Ukatibu wa Upinzani ulimshinda akajawa na tamaa unahisi CCM atatosha? Aendee kuomba Mungu Changamoto ya kupumua ishike kasi pengine anaweza kuibukia mbele ya safari[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee mkuu wewe ndie jumbe brown? Dah umebadili jina? Avatar picha yako ndio imenifanya nikutambueSijaelewa kwamba hao walishawishiwa ahadi ya kuwa viongozi kwenye chama au serikali?
Sasa kama Bashiru anakua katibu mkuu kiongozi atashindwa vipi kuwapigia chapuo wapate vyeo hao walioahidiwa?
Ingawa pia kama waliondoka kwenye vyama vyao wakiahidiwa vyeo basi niwanasiasa wasiofaa.
Wenye taabu ni wale wanajenga uadui kwenye siasa. Ila kama uanachama wako kwenye chama chochote ni kwa sababu ya policies za chama husika maumivu siku zote yatakuwa na kiasi.Sijaelewa kwamba hao walishawishiwa ahadi ya kuwa viongozi kwenye chama au serikali?
Sasa kama Bashiru anakua katibu mkuu kiongozi atashindwa vipi kuwapigia chapuo wapate vyeo hao walioahidiwa?
Ingawa pia kama waliondoka kwenye vyama vyao wakiahidiwa vyeo basi niwanasiasa wasiofaa.
ππππSijawahi kumuona Bashiru kavaa suti. Sasa hivi muda wote atavaa.
Mkuu utateuliwa lini ?Wenye taabu ni wale wanajenga uadui kwenye siasa. Ila kama uanachama wako kwenye chama chochote ni kwa sababu ya policies za chama husika maumivu siku zote yatakuwa na kiasi.
Kwani huyo jamaa anatokea kanda ya nyonyo pia?.Inasemekana aliachwa makusudi ili aje kujaza nafasi ya Bashiru
..sijui kwanini dr.mashinji hajateuliwa nafasi yoyote mpaka sasa.
Huyu alikua Chadema "Strategically"Inasemekana aliachwa makusudi ili aje kujaza nafasi ya Bashiru
Alianza kuwa tofauti na Mtukufu.Maisha haya??? Nitamlilia Kijazi milele.
πππ Kwa hiyo mkuu Mzee wetu katutoka kwa makusudi ili Bashiru nae apate uteuziπππ daah hii kaliKwani Kijazi kafa kwa makusudi?...!!
Pigia mstari hayo maneno.
..chadema wanasema waligundua mipango ya dr.mashinji kuhamia ccm tangu mwezi february 2019.Huyu alikua Chadema "Strategically"
πππWaendelee kunywa mtori wanaweza kukuta nyama chini
..sijui kwanini dr.mashinji hajateuliwa nafasi yoyote mpaka sasa.
Hana mvuto!!!