..but he is highly educated.
..ccm wamfikirie kutokana na jinsi alivyojitoa kwao.
He may be highly educated but not intelligent!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..but he is highly educated.
..ccm wamfikirie kutokana na jinsi alivyojitoa kwao.
He may be highly educated but not intelligent!!!
Tusubiri siku Makamu wa Rais atakaposema bwana asifiweHivi kwanini hakunaga supu ya nguruwe?
nadhani siyo sahihi kusema he is not intelligent
..sikubaliani na mtizamo wako.Kwanini sio sahihi? Unadhani KUWA specialist doctor ndio kuwa na akili? Inawezekana ameelimika lakini hana akili!!!
Yote Haya Kipindi Hiki Yanawezekana Haraka..interesting.
..lakini mimi nadhani KM wa CCM anaweza kuwa afisa wa jeshi, au jaji wa mahakama kuu.
..sikubaliani na mtizamo wako.
..na wewe hukubaliani na mtizamo wangu.
..tukubali kutokukubaliana.
Kwahiyo unadhani anastahili cheo gani cha kupewa kama zawadi kwa kuisaliti chadema?
Karma sio mchezo.Karma
Humphrey Polepole ambaye ndiye aliyekuwa ofisa mazungumzo ( manunuzi ) siku yoyote ataachia kiti cha uenezi kwa vile kishaingia bungeni , Huku mlipaji mkuu wa chama ambaye ni Katibu Mkuu Mh Bashiru Ally akiteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi wa Ikulu , na bila shaka ataondoka kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM
Watakuja wengine wenye mipango mipya , hofu yangu ni kwa vijana walioshawishiwa watukane walikotoka , Je ni nani atawakumbuka ikiwa ahadi ya kupewa vyeo haikuandikwa popote ?
View attachment 1712596
Hawa jamaa akikuhaidi kitu usipo changaka kiroho na kiakiliHumphrey Polepole ambaye ndiye aliyekuwa ofisa mazungumzo ( manunuzi ) siku yoyote ataachia kiti cha uenezi kwa vile kishaingia bungeni , Huku mlipaji mkuu wa chama ambaye ni Katibu Mkuu Mh Bashiru Ally akiteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi wa Ikulu , na bila shaka ataondoka kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM
Watakuja wengine wenye mipango mipya , hofu yangu ni kwa vijana walioshawishiwa watukane walikotoka , Je ni nani atawakumbuka ikiwa ahadi ya kupewa vyeo haikuandikwa popote ?
View attachment 1712596
Hawa jamaa wakikupatia wanakuona bwege sanaHumphrey Polepole ambaye ndiye aliyekuwa ofisa mazungumzo ( manunuzi ) siku yoyote ataachia kiti cha uenezi kwa vile kishaingia bungeni , Huku mlipaji mkuu wa chama ambaye ni Katibu Mkuu Mh Bashiru Ally akiteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi wa Ikulu , na bila shaka ataondoka kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM
Watakuja wengine wenye mipango mipya , hofu yangu ni kwa vijana walioshawishiwa watukane walikotoka , Je ni nani atawakumbuka ikiwa ahadi ya kupewa vyeo haikuandikwa popote ?
View attachment 1712596
kwani kuhama chama ni kukosa uaminifu
Katibu mkuu ajaye hapa lumumba ahakikishe maccm tunaandaa pesa za kutosha ili tumnunue Freeman Mbowe, Fatma Karume, Maria Sarungi na Kigogo wa TwitterHumphrey Polepole ambaye ndiye aliyekuwa ofisa mazungumzo ( manunuzi ) siku yoyote ataachia kiti cha uenezi kwa vile kishaingia bungeni , Huku mlipaji mkuu wa chama ambaye ni Katibu Mkuu Mh Bashiru Ally akiteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi wa Ikulu , na bila shaka ataondoka kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM
Watakuja wengine wenye mipango mipya , hofu yangu ni kwa vijana walioshawishiwa watukane walikotoka , Je ni nani atawakumbuka ikiwa ahadi ya kupewa vyeo haikuandikwa popote ?
View attachment 1712596
Kuhama chama ni UMALAYA wa kisiasa as Mwalimu would have put it!! Wakina Mashinjii na wenzie kutoka Chadema walitongozwa na kununuliwa ili kuhamia CCM!!
Cc: nasari, kijana aliahidiwa mbele ya kadamnasi kuwa atakumbukwa kwenye ufalme, labda watabadilishana na machari au mtatiro
Huyu hajawai kuwa mwanasiasa...sijui kwanini dr.mashinji hajateuliwa nafasi yoyote mpaka sasa.
Ole wake Lijuakali pamoja na kumwaga machozi hakuambulia kitu.Hana mvuto!!! Ndio kundi moja na wakina Lijuakali!!!