Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Acha uchokozi, uzuri nina kujibu wewe unaenifahamu vyema, nilipo pananitosha sana. Ikitokea nakubali uteuzi business empire yangu itapungua nguvu au kufa. Sikupata mali kupitia siasa ni kwa jasho na damu. Nilipo panatosha.Mkuu utateuliwa lini ?