Walipotoka kabla hawajapata majina

😹😹😹 Huyu jamani hiyo suruali jola zima limeisha hapo
Tupia yako ulipokuwa mzee na sasa u kijana. Kipindi hiko unalamba kamasi na zingine unafutia kwenye mkono. Kipindi hiko unakunya minyoo na mingine inatoka yenyewe tu mdomoni na ............πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜
 
Hapo kwa Millard nafkiri tulikuwa hatujahama tu kutoka analojia, kwenda digitali... Na mabadiliko ya fashion hayakuwa advanced sana kama miaka ya hivi karibuni, pia mitandao imebadilisha mastaa wengi na kuwatanua kiakili na kiubunifu... Sura ni ileile tu.

Hazeekagi huyu kijana πŸ˜‚πŸ™Œ
 
Aaah wapi ayo ana komwe wakati Hapi hana komwe
Tupia yako mkuu wakati ule huchagui pa kunya. Ulipokuwa unakunya sehemu yoyote ile. πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜…. Mi nimeipata yako moja ya utotoni hiyo hapo ukiwa unaenda shule.
 

Attachments

  • 1720627561044.jpg
    268.3 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…