Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Bado niko vilevile, sijabadilika, pesa kwangu ni kizungmkuti.ile yako mkuu uliyokuwa na funza na utapia mlo.
Punguza wivu sikuchukulii bwanaTupia yako mkuu wakati ule huchagui pa kunya. Ulipokuwa unakunya sehemu yoyote ile. πππππ . Mi nimeipata yako moja ya utotoni hiyo hapo ukiwa unaenda shule.
Wote wawili wapo kwenye Picha angalia before n afterWakati anaingia mjini yupo kulia au kushoto?
Nini tena bebiPunguza wivu sikuchukulii bwana
Anza wewe πΉπΉTupia yako ulipokuwa mzee na sasa u kijana. Kipindi hiko unalamba kamasi na zingine unafutia kwenye mkono. Kipindi hiko unakunya minyoo na mingine inatoka yenyewe tu mdomoni na ............ππππ
Ndio hapo yupo Zambia anafanya biashara ya Maji na MafutaH
Huyu angehubiri hivyo alivyo mwanzo angeonekana amechanganyikiwa πΉπΉπΉ
Kamanda muasi huyu....πππ
Nataka ya zamani kabla hujajipata kuanza kutengeneza wanzuki πΉπΉπΉHaujaona selfika jana? Au unataka ya zamani??? π π π
Sio kweli πΉπΉπΉNdio hapo yupo Zambia anafanya biashara ya Maji na Mafuta
Chap sasa πDk moja usitoke
Fid arudi mwili wake wa zamani alikuwa vyedi
Wacha mbwembwe, tupia tuone ukiwa umevaa chupi zilizotoboka we boya. ππππPunguza wivu sikuchukulii bwana
πΉπΉπΉ tatizo unawahi kufuta bana, emu rudia bathiii naweWe boyaaa nini mpaka ume react ? π π π π