Ni hivi picha ya kwanza inayomaanisha before kuna watu watatu na kwenye picha imedai Mwamposa yupo kulia. Ila mimi nikiangalia hapo naona siyo wa kulia bali ni huyo wa kushoto.Wote wawili wapo kwenye Picha angalia before n after
Mpigie simuFid arudi mwili wake wa zamani alikuwa vyedi
Una namba yake πΉMpigie simu
Hapana Sina namba yake,Una namba yake πΉ
Hamna kitu tahira mmoja anahaha kumchunga bwana akeNini tena bebi
Vijana endeleeni kujitafuta. Hakuna lisilowezekana ukishaingia Daslam.
Achana naye huyo. Eti anakuambia weka picha yako ukiwa umevaa chupi iliyotoboka.ππππHamna kitu tahira mmoja anahaha kumchunga bwana ake
ππππ€£π€£π€£π€£π€£ππππππ
Dish limeyumbaAchana naye huyo. Eti anakuambia weka picha yako ukiwa umevaa chupi iliyotoboka.ππππ
JF haihitaji hasira. Watu wanatoa stress zao. ππππ
πΉπΉπΉ Niko duniani toka August 19 kiubishi ubishiHapana Sina namba yake,
Ila nafahamu anaitwa Fareed Kubanda
Duuh kumbe sign yako ni Leo.πΉπΉπΉ Niko duniani toka August 19 kiubishi ubishi
Nampenda huyu Mchambuzi, sahivi anaanza kunenepa, aaaah vibayaa hivi.
CEO ana sifa zote za mwanaume, na ana maintain hilo.