Siku zote huwa namwambia Peace begins with a simle. Hapo juu yupo Mahakamani alishawahi kupandishwa mara 103 kwa mwaka 2016.Alafu umeona hiyo saa habadirishi 🤣🤣🤣CEO ana sifa zote za mwanaume, na ana maintain hilo.
Inaonesha ujanani alikua mpolee na mkimya afu mtaratibuu.
Hiyo picha ya mwanzo sijui alikua na jambo gani, kawa na huzuni mnoo.
Maisha haya jamani....
Wanyakyusa wanaume wao mahandsome mnoo..sijui kama kuna mtu anabisha...
alafu anatukana cdm
Daah aseee😂😂😂 pesa heshima yako nyoko ww
Unamaneno weyeAyo asipovaa kofia anafanana na marehemu Dr Shika wa 900 itapendeza
Nilishaanzisha uzi humu..nawakubali wa kina mwaisa....wako smart sana...Mimi mwenyewe ni Mwanaume hilo la Uhandsome unalijua wewe mwanamke 😐😐😐
Kiduku angekuwa tu mtu wa fashoneee
Au ni baba akeAyo asipovaa kofia anafanana na marehemu Dr Shika wa 900 itapendeza
Kufanana tuAu ni baba ake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] saa habadilishii? Wee em sema kweliii?Siku zote huwa namwambia Peace begins with a simle. Hapo juu yupo Mahakamani alishawahi kupandishwa mara 103 kwa mwaka 2016.Alafu umeona hiyo saa habadirishi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ni mengi mda mchachee, WoiiiiihHivi ni kweli ile Crown alihongwa au alitunukiwa kutokana na utendaji wake wa kazi? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Noumaaaa sanaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angalia hizo picha ya mwaka 2016 na 2024 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]