Walipotoka kabla hawajapata majina

CEO ana sifa zote za mwanaume, na ana maintain hilo.
Inaonesha ujanani alikua mpolee na mkimya afu mtaratibuu.

Hiyo picha ya mwanzo sijui alikua na jambo gani, kawa na huzuni mnoo.
Siku zote huwa namwambia Peace begins with a simle. Hapo juu yupo Mahakamani alishawahi kupandishwa mara 103 kwa mwaka 2016.Alafu umeona hiyo saa habadirishi 🤣🤣🤣
 
Nampenda huyu Mchambuzi, sahivi anaanza kunenepa, aaaah vibayaa hivi.
Hivi ni kweli ile Crown alihongwa au alitunukiwa kutokana na utendaji wake wa kazi? 😂 😂 😂
 
Siku zote huwa namwambia Peace begins with a simle. Hapo juu yupo Mahakamani alishawahi kupandishwa mara 103 kwa mwaka 2016.Alafu umeona hiyo saa habadirishi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] saa habadilishii? Wee em sema kweliii?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ni mengi mda mchachee, Woiiiiih
Nitonye basi maana wewe ni mtu wa Micocogoh 🤣🤣🤣
Ndio kusema na yeye ndio vileee kama wakina JJuxxx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…