1. Mkulu hebu nipe shule kwa lugha nyepesi, Serikali ya Nchi zinazoendelea zifanye nini ili kukabiliana na hili tatizo?
2. Thailand nadhani serikali inagawia wananchi wa kipato cha chini mshiko! I am ignorant na hii kitu TBH
3. Pili kwa kama mwanachi wa kule Mwanalumango nayetegemea kuuza embe anatakiwa afanye nini?
Natanguliza shukrani
1. - Mkuu wangu mimi sio mchumi, lakini kwa maoni yangu ni kwamba Tanzania na nchi zingine zinazoendelea itachukua muda mrefu sana kukumbwa na matatizo ya hili janga, Africans nations majuzi kule London wamedai kwamba wakaipewa Dola $ Billioni 50, basi zitatatua tatizo, lakini hawaku-mention ni tatizo gani? Kwa sababu kama ni kuahtirika kwa uchumi wa West, bado bongo hatujakumbwa na chochote kwa sababu bado hatujajikita kwenye biashara za kukopa kwa big time kwa wananchi wetu, binafsi ningewaomba tu benki zote za bongo zikatae kabisa kuwakopesha wananchi wasiokuwa na uwezo kurudisha hela wanazozikopa, kwa sababu kama bongo tungekua na system ya kukopa kama US by now tungekua tunakula majani.
- Huenda tunakula majani anyways, lakini sio kwa sababu ya kupasuka kwa uchumi wa dunia, ila ni ubovu wa policies zetu ambazo sio siri kwamba ni un-progressive, nchi zinazoendelea zinahitaji sana sasa kuungana na kuanzisha biashara baina yao, badala ya kutegemea biashara na West, lakini cha muhimu ni kujifunza kutokana na matatizo ya the west kujiepusha na kuanzisha system za kukopa kopa tu kama US, yaani wananchi wanaishia kwa kukopa tu na credit card, tusipojiingiza kwenye haya tutakua fine, kwa sababu the west ni soon watapata dawa ya matatizo yao.
- Tatizo kub wa zaidi tulinalo ni misaada na mikopo toka nje, kwa kweli hilo nalo linatisha sana, kwa sababu unajua mikopo mingi tunayolipa sasa hivi tunalipa interest tu lakini hatujagusa principle na wala hatutakuja kuweza kufikia kulipia principle, hili sinanuhakika tutalitatuaje as a nation.
2. Tatzio la kugaia wananchi mshiko ni kwamba hela zinazotumika kwa huo mshiko mara nyingi huwa zinakwua sio za ile serikali, kwa mfano US hela zote walizokwisha tumia os far ni za mkopo kutoka China, kwa sababu wakiingia kuchota hazina yao ya taifa, then inabidi kuwe na devaluation, kitu ambacho sio progressive kwa uchumi wa taifa, sasa unless you are US, sijui nchi kama Thailand itawezaje kuzirudisha hizo hela za nshiko iwapo hazitarudi intime au zikirudi zikiwa less, kwa sababu ni lazima in some cases taifa lipunguze kodi ya vitu ili kuurudisha uchumi tena, kwa Tanzania hili hatuliwezi la kugawa mshiko, ila sijui thailand wametoa hela ngapi za mshiko na wamezitoa wapi.
-3. Mwananchi wa Mwanalumango, anatakiwa tu ajiepushe na tamaa ya ammbo makubwa na kuridhika na maisha madogo aliyonayo ya kujinyima nyima, kwa sababu uwezekano wake wa ku-progress ni mdogo sana katika kpindi hiki kibaya cha uchumi.
In wabongo tunahitaji kujifunza kupunguza matumizi, kuaniza seriakli mpaka wananchi tunatumia hela vibaya sana, yaani sometimes unajiuliza kwamba eti hawa wananchi kweli wana shida, na hii serikali jkweli ina shida? Yaani maofisa wadogo tu wa serikali wanasafiri kwenye business class, first class, hivi unajua bongo to US na kurudi first class ni dola karibu $ 10,000 za US sasa uanjua wka mwaka wanasafiri mara ngapi? Inasikitisha sana.
Mkuu samahani sana kwa maelezo marefu, sina ujuzi sana na uchumi, ila niaujua mdogo sana wa kuniwezesha kuishi simple lakini,comfortable.
Respect.
FMES!