Uwiano Maalum,
Field Marshall ES
YOYO.
Mimi kama mtanzania, nadhani nimechukizwa mno na hii tabia ya hawa ndugu zetu ambao siku zote wanajiona kwamba ndio Mungu watu. guys you must stop this insanity; Mnawaombea hadi wenzenu kupoteza hajira kama siyo uchawi ni kitu gani? Wamesoma unadhani wakipoteza kazi hawatapati kazi zingine?
Nadhani muda umefika kwenu either kunyamaza au kunyamazishwa. You must be some of those wazamiaji ambao maisha imewashinda matokeo yake mmebakia na hasira za kujadili watu. Hapa au kwenye hii mada January Makamba ameingiaje?
Yoyo wewe unafanya kazi gani na nani anakufahamu? Field Marshal na Heshima yako Unafanya kazi gani, Uwiano na wewe unafanya kazi gani. Mkishindwa Maisha na kuendesha Lori rudini makwenu. Mkishindwa kuosha wazee, rudini mkapumzike makwenu. Hacheni hizi tabia za kimbea na majungu
Mlikuwa mnamsengenya mashaka ambaye pamoja na umri mdogo, kawashinda kwa mbali mizee mizima. Sasa January kaingiaje humu, kumjadili mashaka kumeingiaje kwa January au Dr. Shayo?
January mnamfahamu kwa Jina tena anakofanya kazi, Hebu kama mna ushahidi kwamba anaiba articles, leteni huo ushahidi. Bring Evidence ! You are people hiding under the cover of darkness with pants half naked hitting key boards like fools, you may think you are not known but you are known clearly well. Field Marshall, who doesnt know you? what better do you have better than January? or you want us to start talking about you too? how would you feel?
Yes, Janaury works for the President, he is well known and a very brilliant guy. What is your main intent of discussing him? He is very well educated with valid credentials, what do you have? Vyeti vilivyounganishwa? January is only 32 and you; meaning has a long and a healthy career ahead.
Dr Shayo Maybe is approaching 40, but atleast we know his name, he is teaching at a university, he is consulting extensively, he is using his real names. anawaelemisha, na kama mnajiona mko so clever kwa nini mnasoma vitu vyake, mkiwa na akili kwa nini mna hasira za ajbu na wenzenu?
Back to Mashaka, the so called Yoyo a Looser, brought some undercooked paper, calling Mashaka a liar. Mashaka is only 31 if not 30, he works for one of the major investment banks, extremely brilliant and well educated. whether he is a teller in carolina or sweeper in NY. That is his job, he is proud to have a job and helping his people . He has never came to you to beg
Mybe he is the smartest teller to have ever lived, yuko BBC, Yuko CNBC,Yupo Business Week Nyie mko wapi?
Jamii Forums mnajadili watu.
Uwiano maalum mm nakuonea huruma jinsi unavyojidhalilisha, kwani Kazi za investment Banking zimefungwa sehemu moja? Hebu kasoma hata simu moja kuhusu Investment Banking jobs au "Capital Markets" Nadhani wwwe ni ignorant kwa kifupi. Limbukeni
What I can tell you, majitu kama YOYO I know for Sure, you can never even be close to Mashaka and January, not even an inch close, na hata wew unajua hilo ndo maana unaamua kuwaita kila aina ya majina. Na huyu jini Uwiano Maalumu azidi tu kuwiana. Wivu wake dhidi ya January ndio chanzo cha uchizi wake.
Field Marshall anadiriki kuuliza mtoto aliyezaliwa Tanzania ikiwa ni Mkenya wewe ni wa wapi? Field Marshall wewe ni Mnyarwanda? au Mgogo? ukishajibu hilo swali basi swala la Mashaka utakuwa umelijibu mwenyewe. Swali lako la Mwisho, Je tuanze kumjadili mkeo anavyogawa TIGO?
Yoyo, na wewe unadhani siku zako za Udokozi zimesahaulika?
Machungu mnayoyasikia ndo yale wenzenu mnaowajadili wanayoyasikia. Au ndo mnajaribu kuwavunja moyo ili ndoto zao zisitimie?
Hawa watoto ni nyinyi ndo mnaozidisha umaarufu wao kwa umbea wenu na majungu mliyonayo. Sijaona kati yao hata mmoja anayejigamba, January hajajigamba. Mashaka ni mstaarabu mno. Nyie ndo wenye majigambo, arrogant for nothing, sore losers. na kama Sikosei mliingia majuu kupitia posta ya zamani ndo maana mna machungu na wenzenu. Mnazusha kweli
Nadhani hii forum imeanzishwa kwa ajili ya mijadala ya kijamii siyo kujadili watu. Mkishindwa kujadili mada zao, basi rudini nursing homes mkamalize kazi zenu, hacheni chuki binafsi kwa hawa watoto. they are real people, and real humans using their real identities, unlike you calling yourselves with devilish names
Lazima tusitishe hii tabia chafu ya Usenene. Nami pia najificha nyuma ya computer jinsi mnavyojificha kuwachafua wenzenu
Lengo langu kubwa ni kukataza hii tabia ya kujadili watu badala ya mada zao. Jifikirieni nyie wenyewe ikiwa mtu atawavamia na kuanza kuwajadili kila siku, au mnadhania kuanza kuandika majina yenu humu ndani ni kazi ngumu hadi na wake zenu mnavyowaandika wengine?
Tuseme hawa vijana hawana lolote la maana, basi tuleteeni la maana nasi tuone