Wallace Karia achana na Makonda anakupoteza

Wallace Karia achana na Makonda anakupoteza

Hivi ktk historia ya mpira Tanzania huyo Karia ametokea wapi na kafanya nini huko nyuma mpaka aongoze taasisi ya mpira Tanzania? na Makonda ana background gani ktk soka hapa Tanzania mpaka apewe majukumu ambayo ni too technical kuweza kumudu ili kuwe na positive result?
Kuhamasisha kunahitaji kuwa technical kivipi?
Hujui mpira, endelea kushabikia siasa wewe!
 
Hivi tumekosa wachezaji marufu ambao waliucheza mpira kwa mafanikio , hadi Tunamkabidhi mwanasiasa ambaye interest yake ni kupata umaarufu tu


Hivi zile mil 10 zisha gaiwa.
 
Hivi tumekosa wachezaji marufu ambao waliucheza mpira kwa mafanikio , hadi Tunamkabidhi mwanasiasa ambaye interest yake ni kupata umaarufu tu


Hivi zile mil 10 zisha gaiwa.
 
Pima mafanikio yako ndani ya TFF kwa muda ambao umekaa hapo TFF. Makonda anakupotosha vitu vingi sana kwa kutaka UKUU WA KILA JAMBO. Mifano mingi ipo... hana jambo ambalo aliweza kulifanikisha yeye na likawa usipomuepuka UTAISHIA KICHAKANI NA SOKA LITATOWEKA KABISA TANZANIA.

Ushindi wa TAIFA STARS kwenda AFCON haukusababishwa na Makonda hata kidogo bali ni watu walipoungana na kuwa kitu kimoja kama taifa. Aliwatumia watu mbalimbali na wakajitoa kweli matokeo yale waliofanikisha akaanza kuwaponda mfano KONKI LIQUID.. Aliwatosa waliojitoa na kupeleka maswahiba zake IKULU na kuwaacha waliojitoa wakiiona IKULU Kupitia Azam TV haya sasa VIJANA WETU WA UNDER 17 KWAHERI tena ndani ya ARDHI YETU hii ni fedheha. Hivi tulijiandaa kwa haya matokeo, ndio maana tukajigawa vilabu nendeni kwenye michezo yenu ya ligi Kuu na watoto sijui tulimwachia nani??

Badala ya kuunganisha nguvu tukapigana kama Taifa tukaamua kujigawa.
Yanga Mtibwa Morogoro,
Coast na Simba Tanga,
Ndanda na Azam Mtwara.
Na wengine wakatawanywa hivyo hivyo. Tusimtafute mchawi tumejipiga kisu wenyewe. Kisu cha kwanza kilikuwa ni kumuondoa Kim Pousen huku tukijua kabisa tuna host haya mashindano.

Tujitathimini sisi wakubwa ndio tume waangusha Hawa vijana. Hawana majibu ya kutupa sisi ila sisi ndio tunatakiwa kuwa tathimini sahihi hawa vijana ili waweze kuendelea kuamini kuwa wao ni wapiganaji sahihi Wa Taifa hili.

Katika mfumo wa elimu tunasema "there is no poor student but there is always a poor teacher"

AFCON inaanza hata Mabango kwenye maeneo ya kuingia Nchini kama Uwanja wa Ndege Hakuna??

WALLACE KARIA UNAUA SOKA LETU
Usikute makonda ndiye aliyemuinua makonda
 
Pima mafanikio yako ndani ya TFF kwa muda ambao umekaa hapo TFF. Makonda anakupotosha vitu vingi sana kwa kutaka UKUU WA KILA JAMBO. Mifano mingi ipo... hana jambo ambalo aliweza kulifanikisha yeye na likawa usipomuepuka UTAISHIA KICHAKANI NA SOKA LITATOWEKA KABISA TANZANIA.

Ushindi wa TAIFA STARS kwenda AFCON haukusababishwa na Makonda hata kidogo bali ni watu walipoungana na kuwa kitu kimoja kama taifa. Aliwatumia watu mbalimbali na wakajitoa kweli matokeo yale waliofanikisha akaanza kuwaponda mfano KONKI LIQUID.. Aliwatosa waliojitoa na kupeleka maswahiba zake IKULU na kuwaacha waliojitoa wakiiona IKULU Kupitia Azam TV haya sasa VIJANA WETU WA UNDER 17 KWAHERI tena ndani ya ARDHI YETU hii ni fedheha. Hivi tulijiandaa kwa haya matokeo, ndio maana tukajigawa vilabu nendeni kwenye michezo yenu ya ligi Kuu na watoto sijui tulimwachia nani??

Badala ya kuunganisha nguvu tukapigana kama Taifa tukaamua kujigawa.
Yanga Mtibwa Morogoro,
Coast na Simba Tanga,
Ndanda na Azam Mtwara.
Na wengine wakatawanywa hivyo hivyo. Tusimtafute mchawi tumejipiga kisu wenyewe. Kisu cha kwanza kilikuwa ni kumuondoa Kim Pousen huku tukijua kabisa tuna host haya mashindano.

Tujitathimini sisi wakubwa ndio tume waangusha Hawa vijana. Hawana majibu ya kutupa sisi ila sisi ndio tunatakiwa kuwa tathimini sahihi hawa vijana ili waweze kuendelea kuamini kuwa wao ni wapiganaji sahihi Wa Taifa hili.

Katika mfumo wa elimu tunasema "there is no poor student but there is always a poor teacher"

AFCON inaanza hata Mabango kwenye maeneo ya kuingia Nchini kama Uwanja wa Ndege Hakuna??

WALLACE KARIA UNAUA SOKA LETU
shida ni kwamba kila mu anatamani kuwa mbunge siku moja. yule karia anampango wa kuwa mbunge wa tanga mjini. ni kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea na hatakuwa na jipya.
Tenga kacheza mpira ulishawahi muona uwanjani na jezi ya yanga? malinzi na ujinga wake hajawahi kuvaa jezi hata siku moja.
yeye na usomali wake anavaa jezi za simba pumbavu anawagawa watu
 
Nafasi ya kushinda AFCON tunayo, tukiwa na mipango thabiti na maandalizi ya kutosha. Kuingia kwenye AFCON tu haitoshi, ni lazima tujipange madhubuti mapema tuepuke aibu kwa kurudi na ushindi.
 
Wizara husika nayo ni kama imepigwa ganzi.
Haionyeshi Mkakati wowote katika maandalizi.
Huenda waliopo pale siyo watu sahihi kwenye hiyo Sekta, kuweza kufahamu changamoto za kimashindano.

Hata hiyo Taifa Stars mpaka sasa hakuna Mkakati wowote wa muda mrefu kuiandaa kwa ajili ya AFCON.

Sijui tunakwama wapi..?
 
Back
Top Bottom