Wallace Karia akamatwe mara moja kwa kuhujumu Mechi ya Simba na Yanga , akibanwa atawataja waliomtuma

Umechelewa sana...
enzi za kukamata wahujumu uchumi zilishapita..
cheza hili segere taratibu
utatia akili tu
 
So kumlaumu ndugai kwa udhaifu wake ni sawa ila kumlaumu karia kwa udhaifu wake anaonewa!
 
TFF wamefanya uhun, walijui kitu kitakachotokea, nadhan walikuwa na conflict of interest na serikali, wakawategea Bomu na kweli limelipuka, hata ukiangalia lile tamko lao ni kama wanajitoa kwenye msala waliokuwa wanajua unakuja na kuwasukumia serikali.
 
Wewe huna akili hata kidogo. Unadhani wizara itajiamulia jambo zito kama hilo bila kupokea maagizo kutoka juu? Rais yuko live kuzindua likitabu lisilo na maana muda wa mechi, unadhani mechi ingewezekena kuchezwa huku Rais akiwa anahutubia?

Rais Samia ni mhusika mkuu wa hili sakata, hata kama Bashungwa atatolewa kama sadaka,kama nyinyi wapumbavu wachache mnavyotaka.
 
Fifa hairuhusu mambo ya serikali kuingilia mipira, mpira ungekuwa kama unavyofikiri hata ligi ya uingereza mechi nyingi zingeingiliwa ratiba kisa events ya viongozi wakubwa wa kiserikali.
 
Sasa tumdake nani ?
 
Anatakiwa awe amekamatwa huyo
 
Na wewe unaamini kwenye nyota? Kwani ilivyopelekwa saa1.00 usiku, tarehe ingekuwa tofauti?
 
Fifa hairuhusu mambo ya serikali kuingilia mipira, mpira ungekuwa kama unavyofikiri hata ligi ya uingereza mechi nyingi zingeingiliwa ratiba kisa events ya viongozi wakubwa wa kiserikali.
Kwamba Tff,wangeigomea Serikali sio😅.Hivyo vitu mnavyoviandika hapa, kwa bongo ni very theoretical na havifuatwi. Yani Rais anahutubia, afu Tff hawahawa wapewe maaigizo ya kupeleka muda mbele wagoner? Sio kwa nchi za AFRIKA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…