Wallace Karia: Ni vizuri zile tabia za kupokea wageni(michezo ya Kimataifa) zife

Amepata wapi mamlaka ya kupangia watu maisha huyu kibwengo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na anakutesaaa kwa kweli. Poleeeeeeh

Maskiniiii weee,
 
Huyu jamaa hayuko sawa kisaikolojia! Maana unaweza kuhisi ana matatizo ya akili.

Inashangaza eti ndiyo rais wa TFF!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo ashakuwa sasa, vipi una lipi la kufanyaaa??? Na atakutesaaa sanaa, na badoooooooooh.

Karia niumizieeee huyu mtu, weraaaaaaaah.
 
Wajingajinga FC lazima watabisha hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…