MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kuna Timu kwa nia njema tu naionya kwakuwa bado ina Jeraha la Kufungwa mara mbili Dar es Salaam na Port Harcourt isikubali Kucheza Mchezo wake wa Ngao ya Hisani (Jamii) na Simba SC tarehe 25 Septemba, 2021.
Kwa aina ya Mpira mkubwa (mwingi) na wa Kiwango cha Kimataifa iliyoucheza ( nikifurahishwa ) zaidi na Kasi ya Wachezaji, Pumzi, Nguvu na Ari ya Kiushindani waliyonayo naiona hiyo Timu itakayocheza nayo Jumamosi ijayo itafungwa hata Goli ( Bao ) Saba ( 7 ) kwa Sifuri (0).
Kwa Simba SC hii iliyopo sasa (na ambayo imeboreka zaidi) bado sijaona Klabu yoyote ile hapa nchini Tanzania ya Kucheza nayo na hata Kuifunga na kama Simba SC itafungwa na Klabu yoyote ya Tanzania basi itakuwa 95% hiyo Timu imeroga mno na 5% imehonga sana Waamuzi ili Waibebe.
Kwani ukiachilia mbali kuwa Simba SC ni Timu ya Wenye Nchi lakini pia ndiyo Timu pendwa na Mwenyezi Mungu na kwamba ameshaibariki zaidi kwa Mafanikio ya Kimpira.
Kwa aina ya Mpira mkubwa (mwingi) na wa Kiwango cha Kimataifa iliyoucheza ( nikifurahishwa ) zaidi na Kasi ya Wachezaji, Pumzi, Nguvu na Ari ya Kiushindani waliyonayo naiona hiyo Timu itakayocheza nayo Jumamosi ijayo itafungwa hata Goli ( Bao ) Saba ( 7 ) kwa Sifuri (0).
Kwa Simba SC hii iliyopo sasa (na ambayo imeboreka zaidi) bado sijaona Klabu yoyote ile hapa nchini Tanzania ya Kucheza nayo na hata Kuifunga na kama Simba SC itafungwa na Klabu yoyote ya Tanzania basi itakuwa 95% hiyo Timu imeroga mno na 5% imehonga sana Waamuzi ili Waibebe.
Kwani ukiachilia mbali kuwa Simba SC ni Timu ya Wenye Nchi lakini pia ndiyo Timu pendwa na Mwenyezi Mungu na kwamba ameshaibariki zaidi kwa Mafanikio ya Kimpira.