Wallah! Kama Simba SC itacheza Mpira Mkubwa iliyocheza Simba Day na TP Mazembe, kuna Mtu tarehe 25 anafungwa Goli 7

Wallah! Kama Simba SC itacheza Mpira Mkubwa iliyocheza Simba Day na TP Mazembe, kuna Mtu tarehe 25 anafungwa Goli 7

Ndio maana timu ilienda kufichwa karatu, hii ndio Simba mbovu katika miaka ya karibuni. Katika wachezaji wote wapya hakuna Wa kumzidi Ajib ambaye anasotea bench. Apo ndio wana wiki ya tano ya pre season na mechi zaidi ya tano na kiwango ndio hicho.
 
Ndio maana timu ilienda kufichwa karatu, hii ndio Simba mbovu katika miaka ya karibuni. Katika wachezaji wote wapya hakuna Wa kumzidi Ajib ambaye anasotea bench. Apo ndio wana wiki ya tano ya pre season na mechi zaidi ya tano na kiwango ndio hicho.
Pole kwa Kufungwa Dar es Salaam ( Tanzania ) Kimoko na Port Harcourt ( Nigeria ) Kimoko Ndugu.

Hongereni pia Yanga SC kuwa Klabu ya Kwanza tokea Uhuru wa Tanzania kutolewa CAF CL katika Mechi ya Kwanza tu.

Na Jumamosi ndiyo mtauana Uwanjani.
 
Kama Simba ilivyo tolewa na UD Songo.
 
Kama Simba ilivyo tolewa na UD Songo.
Ni kweli Simba alitolewa na UD Songo lakini si kwa kufungwa bali ni kanuni.Pili nafasi ile ya uwakilishi Simba alikuwa kaipambania lakini nyinyi sasa ,nafasi ya viti maalumu bado mnaichezea

Semu kuna mtu nimeona sehemu kasema ukimbeba chizi ujiandae kuchafuliwa tu .
 
Simba wamecheza mpira mbovu sana Jana,,sidhani kama watatoboa makundi
 
Simba uwezo wanaona ,angalia walipofungwa walivyochangamka ,sema walifungwa zimebaki dk chache lakini unaona walivyokimbiza pia ,Sina wasiwasi na Simba tutafika mbali
Umesema ukweli mtupu.
 
Simba wamecheza na Mazembe timu ngumu kumbukeni hilo,Simba kwa Mazembe walikua wanahaki ya kupigwa hata goli tatu,lakini haikua rahisi.Mazembe ndo bingwa wa DRC na kabeba mataji cafcl zaidi ya mara nne.

Ujio wa wachezaji wageni wa Simba kwenye mechi ngumu yenye kiwango cha final na bado wakaonyesha kiwango cha kuridhisha hiyo ni hatua kubwa sana kwa Simba,ingekua timu nyingine wangesema bado hawana muunganiko.
Nachowahakikishia wanasimba wote tuwape muda wacheza wapya wote wa Simba,wanavitu amazing sana watavionyesha siku za usoni.
 
Kila mwaka kunakuwa na kauli hizihizi kabla ya Derby, baada ya game story inakuwa tofauti....
 
Kuna Timu kwa nia njema tu naionya kwakuwa bado ina Jeraha la Kufungwa mara mbili Dar es Salaam na Port Harcourt isikubali Kucheza Mchezo wake wa Ngao ya Hisani (Jamii) na Simba SC tarehe 25 Septemba, 2021.

Kwa aina ya Mpira mkubwa (mwingi) na wa Kiwango cha Kimataifa iliyoucheza ( nikifurahishwa ) zaidi na Kasi ya Wachezaji, Pumzi, Nguvu na Ari ya Kiushindani waliyonayo naiona hiyo Timu itakayocheza nayo Jumamosi ijayo itafungwa hata Goli ( Bao ) Saba ( 7 ) kwa Sifuri (0).

Kwa Simba SC hii iliyopo sasa (na ambayo imeboreka zaidi) bado sijaona Klabu yoyote ile hapa nchini Tanzania ya Kucheza nayo na hata Kuifunga na kama Simba SC itafungwa na Klabu yoyote ya Tanzania basi itakuwa 95% hiyo Timu imeroga mno na 5% imehonga sana Waamuzi ili Waibebe.

Kwani ukiachilia mbali kuwa Simba SC ni Timu ya Wenye Nchi lakini pia ndiyo Timu pendwa na Mwenyezi Mungu na kwamba ameshaibariki zaidi kwa Mafanikio ya Kimpira.
Haina ubishi iyo
 
Simba wamecheza na Mazembe timu ngumu kumbukeni hilo,Simba kwa Mazembe walikua wanahaki ya kupigwa hata goli tatu,lakini haikua rahisi.Mazembe ndo bingwa wa DRC na kabeba mataji cafcl zaidi ya mara nne.

Ujio wa wachezaji wageni wa Simba kwenye mechi ngumu yenye kiwango cha final na bado wakaonyesha kiwango cha kuridhisha hiyo ni hatua kubwa sana kwa Simba,ingekua timu nyingine wangesema bado hawana muunganiko.
Nachowahakikishia wanasimba wote tuwape muda wacheza wapya wote wa Simba,wanavitu amazing sana watavionyesha siku za usoni.
huyu jamaa yupo ama kafa??
 
Kuna Timu kwa nia njema tu naionya kwakuwa bado ina Jeraha la Kufungwa mara mbili Dar es Salaam na Port Harcourt isikubali Kucheza Mchezo wake wa Ngao ya Hisani (Jamii) na Simba SC tarehe 25 Septemba, 2021.

Kwa aina ya Mpira mkubwa (mwingi) na wa Kiwango cha Kimataifa iliyoucheza ( nikifurahishwa ) zaidi na Kasi ya Wachezaji, Pumzi, Nguvu na Ari ya Kiushindani waliyonayo naiona hiyo Timu itakayocheza nayo Jumamosi ijayo itafungwa hata Goli ( Bao ) Saba ( 7 ) kwa Sifuri (0).

Kwa Simba SC hii iliyopo sasa (na ambayo imeboreka zaidi) bado sijaona Klabu yoyote ile hapa nchini Tanzania ya Kucheza nayo na hata Kuifunga na kama Simba SC itafungwa na Klabu yoyote ya Tanzania basi itakuwa 95% hiyo Timu imeroga mno na 5% imehonga sana Waamuzi ili Waibebe.

Kwani ukiachilia mbali kuwa Simba SC ni Timu ya Wenye Nchi lakini pia ndiyo Timu pendwa na Mwenyezi Mungu na kwamba ameshaibariki zaidi kwa Mafanikio ya Kimpira.
Jamaa kautelekeza Uzi wake[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom