MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Hili wakuone❌️/Ili wakuone✅️Hili wakuone unaimba gospel kweli inabidi kwenye verse moja utamke Yesu mara 200.
Uvae mashati ya kung'aa ,chini moka na nk.
Hawa wasanii wanaoimba gospel janja kwa walokole siasa kali wanawaona kama wanaimba pini za kina Diamond tu.
Page gani huko insta?!Kuna Uzi niliupost mchana Mods wakaufuta ungejua kitu, kiufupi tu juzi amepostiwa na Sir Andy Chande kule Instagram....kwahiyo jiongeze.
Kama humjui Sir Andy chande basi kamtafute umfaham.
Huyo Andy chande si alishakufaKuna Uzi niliupost mchana Mods wakaufuta ungejua kitu, kiufupi tu juzi amepostiwa na Sir Andy Chande kule Instagram....kwahiyo jiongeze.
Kama humjui Sir Andy chande basi kamtafute umfaham.
Kaandike Sir Andy chande itakujaPage gani huko insta?!
Ndio ila akaunti yake bado kuna watu wake wanaiendesha kama kawaidaHuyo Andy chande si alishakufa
Wote hao ni wale wale tuuHili wakuone unaimba gospel kweli inabidi kwenye verse moja utamke Yesu mara 200.
Uvae mashati ya kung'aa ,chini moka na nk.
Hawa wasanii wanaoimba gospel janja kwa walokole siasa kali wanawaona kama wanaimba pini za kina Diamond tu.
yuko wapi sasa, ukishajichanganya unapotea mazima, sijausikia wala kuuona huo wimbo wa Joel Lwaga nimesikia maoni ya wadau tuAlisemwa Sana Good luck..akasonga mbele..
Unataka awepo wapi!? Nenda kwake.yuko wapi sasa, ukishajichanganya unapotea mazima, sijausikia wala kuuona huo wimbo wa Joel Lwaga nimesikia maoni ya wadau tu
Huyo Andy Chande alishaondoka toka 2017, kwa hiyo unataka kusema Joel ni mfuasi wa imani ya Sir Andy?Kuna Uzi niliupost mchana Mods wakaufuta ungejua kitu, kiufupi tu juzi amepostiwa na Sir Andy Chande kule Instagram....kwahiyo jiongeze.
Kama humjui Sir Andy chande basi kamtafute umfaham.