Walokole siasa kali wanamuona Joel Lwaga hana tofauti na Diamond

Walokole siasa kali wanamuona Joel Lwaga hana tofauti na Diamond

Hili wakuone unaimba gospel kweli inabidi kwenye verse moja utamke Yesu mara 200.
Uvae mashati ya kung'aa ,chini moka na nk.
Hawa wasanii wanaoimba gospel janja kwa walokole siasa kali wanawaona kama wanaimba pini za kina Diamond tu.
Kwanza uelewa hakuna Gospel janja.
 
Gospel means good news...i.e habari njema if I'm to translate to Kiswahili..
Hii habari njema the main focus ni YESU...
Maandiko yanasema Torati ililetwa kwa mkono wa Musa lakini Neema na kweli na YESU Kristu.
Kwahiyo habari njema ni kuihubiri Kweli ( Neno la YESU)
Chochote ukifanyacho,kipimo ni Kweli ya YESU,nje ya hapo utakuwa umekengeuka.
Ukristu hauna siasa Kali ama siasa moderate kwakuwa Truth is indivisible,huwezi kuigawa kweli ikawa huku nusu na kule nusu... Kwenye ukristu it's either uwe upande wa kweli( truth) au huko kwa baba wa uwongo...tusilete perspective ya ati Kuna siasa moderate ama Kali kwa Christianity.
Bila ya kumtaja Yesu,hakuna injili na huo ndiyo ukweli...ukileta janja janja zako, KWELI inakutema yenyewe.
JESUS is the one who has brought the gospel,so ukitaka kutomtaja basi wewe utakuwa ni mtu wa gizani.
Lwaga kama wengine amejikwaa inabidi ajitafakari ni Injili gani anayoinjilisha bila ya kumdhihirisha YESU ambaye ndiye injili yenyewe....
 
Gospel means good news...i.e habari njema if I'm to translate to Kiswahili..
Hii habari njema the main focus ni YESU...
Maandiko yanasema Torati ililetwa kwa mkono wa Musa lakini Neema na kweli na YESU Kristu.
Kwahiyo habari njema ni kuihubiri Kweli ( Neno la YESU)
Chochote ukifanyacho,kipimo ni Kweli ya YESU,nje ya hapo utakuwa umekengeuka.
Ukristu hauna siasa Kali ama siasa moderate kwakuwa Truth is indivisible,huwezi kuigawa kweli ikawa huku nusu na kule nusu... Kwenye ukristu it's either uwe upande wa kweli( truth) au huko kwa baba wa uwongo...tusilete perspective ya ati Kuna siasa moderate ama Kali kwa Christianity.
Bila ya kumtaja Yesu,hakuna injili na huo ndiyo ukweli...ukileta janja janja zako, KWELI inakutema yenyewe.
JESUS is the one who has brought the gospel,so ukitaka kutomtaja basi wewe utakuwa ni mtu wa gizani.
Lwaga kama wengine amejikwaa inabidi ajitafakari ni Injili gani anayoinjilisha bila ya kumdhihirisha YESU ambaye ndiye injili yenyewe....

Jamaa anataja baba na mungu olodumare wa wayoruba. Kuna shida sehemu
 
Muacheni Kijana atafute hela

Ana familia
Ana watoto

Mungu hafanyi Kazi Kwa style hiyo yaani MTU aache kuandika nyimbo itakayompatia pesa kisa walokole!
 
Muacheni Kijana atafute hela

Ana familia
Ana watoto

Mungu hafanyi Kazi Kwa style hiyo yaani MTU aache kuandika nyimbo itakayompatia pesa kisa walokole!
Kwani sisi tumemzuia asitafute pesa? Akizikengeuka lazima tumpe makavu
 
Hili wakuone unaimba gospel kweli inabidi kwenye verse moja utamke Yesu mara 200.
Uvae mashati ya kung'aa ,chini moka na nk.
Hawa wasanii wanaoimba gospel janja kwa walokole siasa kali wanawaona kama wanaimba pini za kina Diamond tu.
Wenye mirengo ya kihafidhina ?
 
Baadhi ya nyimbo za injili au kwaya ni za bandia ,sio halisi kama ilivyo kwa uwepo wa mitume na manabii bandia wa uongo .

ndivyo ilivyo hata kwa baadhi ya hizi nyimbo za injili ni bandia hata na

waimbaji wenyewe wa hizi nyimbo ni waigizaji bandia utawatambua hata kwa matendo yao.
 
Back
Top Bottom