Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaha wacha pakucheNaam
Naona watakuja na tamko tamu
Sidhani kama watahamasishana kugomea. Lakini hoja inakuja
Mkuu kipenzi chetu JPM amepumzika 🙏Kwahio unapingana na Mwendazake? Kama mwenzio jingalao
Mkuu ingependeza kama ungesema kipenzi chako bila kujumuisha wengine. Ni mtazamo tu lakini.Mkuu kipenzi chetu JPM amepumzika [emoji120]
Ametuachia mama shupavu ,mzalendo na msikivu kama lilivyo jina lake.....
Mkuu hii ni AWAMU ya 6....kila zama na kitabu chake.....
Siempre SSH
NchiKwanza
Jibu hoja, kwanini mnachezea maisha ya Wamachinga ili kupata credibility ya kisiasa? Mnajua hawa watu wana familia? Kwanini mliwaruhusu?Mkuu kipenzi chetu JPM amepumzika 🙏
Ametuachia mama shupavu ,mzalendo na msikivu kama lilivyo jina lake.
Mkuu hii ni AWAMU ya 6....kila zama na kitabu chake.
Siempre SSH
NchiKwanza
Sawa Mkuu....Mkuu ingependeza kama ungesema kipenzi chako bila kujumuisha wengine. Ni mtazamo tu lakini.
Wajipangeje? Rudiisheni 20,000/mliyowapora!Mh.Mkuu wa mkoa ndg.Amos Makala kwa kuwathamini ndugu zetu Wamachinga amewaongezea siku 12....siku 12....siku 12 kujipanga vyema....
Kongole kwake mh.Makalla👍
#Siempre Serikali Sikivu Ya Awamu ya 6View attachment 1980143
Nimekosa cha kukujibu!Wengi wa wamachinga ni wazalendo na wanaotambua kuwa serikali yao haina nia mbaya katika maelekezo waliyoyatoa.....
Mwanzo ni mgumu ila faida tele itakuja kuonekana huko mbele 👍
Siempre JMT
Nchi Kwanza
Yaani tangu awamu ya tatu makamanda uchwara bado tu wameganda na kamanda wa anga. Hawajui jamaa keshakuwa gaidi.Mkuu kipenzi chetu JPM amepumzika 🙏
Ametuachia mama shupavu ,mzalendo na msikivu kama lilivyo jina lake.....
Mkuu hii ni AWAMU ya 6....kila zama na kitabu chake.....
Siempre SSH
NchiKwanza
Tembea na thread acha utoto, jifunze kujenga hojaYaani tangu awamu ya tatu makamanda uchwara bado tu wameganda na kamanda wa anga. Hawajui jamaa keshakuwa gaidi.
Ok tuishie hapo basi, sema kipenz chako wewe binafsi, kama kuna wengine watajisemea wenyewe. Waweza kuta hata mkeo/mtoto/ndugu zako wanajua madhira ya huyo bwana hivyo hata wao hawako na wewe, it's better ukasemea bafsi yako tu.Sawa Mkuu....
Basi ni kipenzi chetu kasoro wewe Mkuu wangu [emoji120]
Acha wivu Mpwa, tumebomolewa vibandaViongozi wa wamachinga press conference Serena hotel....