Wamachinga kufanya Press Conference Serena Hotel 20/10/2021

Wamachinga kufanya Press Conference Serena Hotel 20/10/2021

Wanachinga hawahawa wanafanyia SERENA HOTEL?[emoji848][emoji848] Aisee watoke kwenye hifadhi za barabara kumbe wanahela
 
Nani anaratibu hiyo press?

Hiyo hotel ni pale pale yule mlimbwende mtu mzima alikula futari na safari ikamalizikia pale, kumbukeni na hilo pia
Hata Dr Slaa alipojiondowa Chadema press yake aliandaliwa hapohapo.

Ukiwa na access na department ya accounts utajuwa nani ni mlipaji wa gharama za leo.

Machinga hawawezi kutowa pesa yao kufanya press hapo wakati ukumbi wa bure wa idara ya habari maelezo upo.
 
Wanachinga hawahawa wanafanyia SERENA HOTEL?[emoji848][emoji848] Aisee watoke kwenye hifadhi za barabara kumbe wanahela
Chief accountant wa Serena ndio anajuwa nani ni mfadhili wa malipo ya event hiyo, na kutakuwa na kula na kunywa nakuhakikishia na bahasha kwa waandishi ili waipambe habari na kumake headlines kwenye media zote. Utakuja kunipa ushuhuda hapa.
 
Chief accountant wa Serena ndio anajuwa nani ni mfadhili wa malipo ya event hiyo, na kutakuwa na kula na kunywa nakuhakikishia na bahasha kwa waandishi ili waipambe habari na kumake headlines kwenye media zote. Utakuja kunipa ushuhuda hapa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasubiri kuona kama ni machinga au matajiri wanaowatuma
 
Machinga alieko humu tafadhali tunaomba mtupe mrejesho Kama kweli watakao toa press mnawatambua au hayo yatakayoongelewa mmekubaliana ili wananchi tuwe na amani isiwe MaCCm yanaibginia tukio
 
Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.

Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.

Jiji limeanza kupendeza

View attachment 1980139

Wamachinga wanafanya press conference Serena hotel [emoji848][emoji15]
 
Jibu liko wazi kabisa kuhusu mwenye hiyo press conference. Wamachinga na press conference? “Where and where?”.
 
Machinga wenyewe
Mkuu sijui majukumu yako yote lakini ni muhimu uwe unatoa ushauri kwa wakuu kuhusu mbinu makini za propaganda. Sisi tunaoishi na wamachinga huku mitaani ukituambia wameitisha press conference hata pale kidogo chekundu tunaona wazi kabisa kamba hiyo, sasa Serena? Dah!
 
Tatizo kubwa ninaloliona ni hili
Serikali iliwatambua na kuwarasimisha kwa vitambulisho vya buku 20.

Hivyo kama inajua wana viongozi wao, kulikuwa na haja ya kuwashirikisha kwenye kupanga hili zoezi iliwaende sawa pamoja na mipango ya serikali.

Ubaguzi kwenye kuwaamulia hatma yao ni dalili ya watawala kuwachoka na kuwabwaga ili kumkomoa yule mzee

“Kumkomoa yule Mzee” - Hii Hapana!
 
Mkuu sijui majukumu yako yote lakini ni muhimu uwe unatoa ushauri kwa wakuu kuhusu mbinu makini za propaganda. Sisi tunaoishi na wamachinga huku mitaani ukituambia wameitisha press conference hata pale kidogo chekundu tunaona wazi kabisa kamba hiyo, sasa Serena? Dah!
Hawa sio wamachinga ni wachuuzi waliojificha kwenye ngozi ya machinga
Serena hotel???? Hicho kituko
 
Mkuu wa wamachinga mwenye ofisi yake
IMG_0536.jpg
 
Back
Top Bottom