EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Wanachinga hawahawa wanafanyia SERENA HOTEL?[emoji848][emoji848] Aisee watoke kwenye hifadhi za barabara kumbe wanahela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Dr Slaa alipojiondowa Chadema press yake aliandaliwa hapohapo.Nani anaratibu hiyo press?
Hiyo hotel ni pale pale yule mlimbwende mtu mzima alikula futari na safari ikamalizikia pale, kumbukeni na hilo pia
Chief accountant wa Serena ndio anajuwa nani ni mfadhili wa malipo ya event hiyo, na kutakuwa na kula na kunywa nakuhakikishia na bahasha kwa waandishi ili waipambe habari na kumake headlines kwenye media zote. Utakuja kunipa ushuhuda hapa.Wanachinga hawahawa wanafanyia SERENA HOTEL?[emoji848][emoji848] Aisee watoke kwenye hifadhi za barabara kumbe wanahela
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasubiri kuona kama ni machinga au matajiri wanaowatumaChief accountant wa Serena ndio anajuwa nani ni mfadhili wa malipo ya event hiyo, na kutakuwa na kula na kunywa nakuhakikishia na bahasha kwa waandishi ili waipambe habari na kumake headlines kwenye media zote. Utakuja kunipa ushuhuda hapa.
Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.
Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.
Jiji limeanza kupendeza
View attachment 1980139
Mkuu sijui majukumu yako yote lakini ni muhimu uwe unatoa ushauri kwa wakuu kuhusu mbinu makini za propaganda. Sisi tunaoishi na wamachinga huku mitaani ukituambia wameitisha press conference hata pale kidogo chekundu tunaona wazi kabisa kamba hiyo, sasa Serena? Dah!Machinga wenyewe
Kumbe haya mijitu hayakuwa machinga, ni genge flani yenye ufadhili somewhere. Imagine mikutano yao wanafanyia Serena hotel. Daah!?Machinga kufanya press! Tena Serena!
Serikali ina mikono mithili ya mikia ya pweza. [emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nasubiri kuona kama ni machinga au matajiri wanaowatuma
Mkuu sema kweli MACHINGA wanafanya PRESS SERENA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Serikali ina mikono mithili ya mikia ya pweza. [emoji1][emoji1]
Tatizo kubwa ninaloliona ni hili
Serikali iliwatambua na kuwarasimisha kwa vitambulisho vya buku 20.
Hivyo kama inajua wana viongozi wao, kulikuwa na haja ya kuwashirikisha kwenye kupanga hili zoezi iliwaende sawa pamoja na mipango ya serikali.
Ubaguzi kwenye kuwaamulia hatma yao ni dalili ya watawala kuwachoka na kuwabwaga ili kumkomoa yule mzee
Hawa sio wamachinga ni wachuuzi waliojificha kwenye ngozi ya machingaMkuu sijui majukumu yako yote lakini ni muhimu uwe unatoa ushauri kwa wakuu kuhusu mbinu makini za propaganda. Sisi tunaoishi na wamachinga huku mitaani ukituambia wameitisha press conference hata pale kidogo chekundu tunaona wazi kabisa kamba hiyo, sasa Serena? Dah!
Na sisi watembea kwa miguu tunazidi kupigania haki zetu,hatutaki kuhatarisha maisha yetu kwa kukosa sehemu za kupita kwenye nchi yetuMachinga piganieni haki yenu ya kujitafutia kipato, na nyie ni raia wa nchi hii.....
Imetosha waooondoke tupate uhuru