Piga wamachinga hao hawana akiliJibu hoja, kwanini mnachezea maisha ya Wamachinga ili kupata credibility ya kisiasa? Mnajua hawa watu wana familia? Kwanini mliwaruhusu?
Achana na habari za awamu, Kubali CCM mlikosea sana na mnatakiwa kuwaomba radhi kabla ya kuwafanyia huu udhalimu. We said it before mkatuona sio wazelendo
Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.
Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.
Jiji limeanza kupendeza
View attachment 1980139
Viongozi wa machinga ndani press conference Serena..who finance hiyo press conference? Hao viongozi leo si ndio wamekula kichapo kariakoo ..? Hao viongozi hawawakilishi taswira kamili ya wamachinga Bali wako bega kwa bega na makala.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naam
Naona watakuja na tamko tamu
Sidhani kama watahamasishana kugomea. Lakini hoja inakuja
Mkutano wa ndani, mbona ghafla hivyo kibali waliomba lini na wamepewa lini, je, mfadhili ni yuleyule Chadema?Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.
Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.
Jiji limeanza kupendeza
View attachment 1980139
Hahaha! Ulitaka wafanyie kwenye banda la mama nitilie? Au kibanda umiza? Tuache kuendekeza umaskini watanzania, kwani kufanya press Serena ni Tshs ngapi?Viongozi wa wamachinga press conference Serena hotel....
Machinga kufanya press! Tena Serena!Aisee hawa sio wamachinga tumepigwa ila hili kundi fulani ambalo lipo kwenye system wanakuja kuunga mkono juhudi za serikali.
Halafu kwanini wamachinga, Press yao iwe Serena hotel?, Nani ana gharamia cost za kufanyia Press hapo?
Du,haya mapya kwelikweli.Machinga,presi,comferensi,serena hoteli ? Kweli hiyo ina macho hiyo.Ya kubambikizwa hiyo na ma........ vinginevyo ungesikia kauli.Huo ni mkusanyiko usio halali tena uvunjifu wa amani.Wajaribu, tutawavunja miguu.Eti na agenda ipo ya kumpongeza malkia wa wasukuma.Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.
Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.
Jiji limeanza kupendeza
View attachment 1980139
Wewe umeona hivyo.Uongozi wa wamachinga na wao wenyewe wametambua umuhimu wa kufanya biashara kwa utaratibu mzuri!
Kongole kwao kwa kutoa ushirikiano na serikali yao sikivu ya awamu ya 6👍
Siempre Wazalendo Wamachinga
Siempre JMT
Mwisho wa siku utaniambia.Mafuriko haya sio ya kuzuia kwa kutumia gunia kama unavyodhani. SIMPLE MIND.........Mh.Mkuu wa mkoa ndg.Amos Makala kwa kuwathamini ndugu zetu Wamachinga amewaongezea siku 12....siku 12....siku 12 kujipanga vyema....
Kongole kwake mh.Makalla👍
#Siempre Serikali Sikivu Ya Awamu ya 6View attachment 1980143
Hawa ni UVCCM wameandaa hii kujifanya machingaTunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.
Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.
Jiji limeanza kupendeza
View attachment 1980139
Lengo la serikali ni zuri tu....ila kuna wachache wanaziingiza shari ndani yake....Mwisho wa siku utaniambia.Mafuriko haya sio ya kuzuia kwa kutumia gunia kama unavyodhani. SIMPLE MIND.........