Wamachinga kufanya Press Conference Serena Hotel 20/10/2021

Piga wamachinga hao hawana akili
 
Kumeeeee kucha. Je, wataamua kupambana au kutii amri? Nini kitafuata kama wakiamua kupambana? Wataitiwa polisiccm wapewe mkong’oto kama Chadema na kutupwa lupango? Au Serikali itaufyata? Tutege macho na masikio. Thank Thank

 
Je, ni Viongozi wa kuchaguliwa kweli au ni mapandikizi ya maccm pretending to be machinga leaders!?

 
Mkutano wa ndani, mbona ghafla hivyo kibali waliomba lini na wamepewa lini, je, mfadhili ni yuleyule Chadema?
 
Hao ni machinga kweli wanaofanya conference kwa Selena hotel au ni janja ya chama fulan kuonesha uma machinga wameunga juhudi
 
Ukumbi bure au RC kasimamia[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mmepata wapi hela ya kukodi ukumbi serena hoteli?
 
Aisee hawa sio wamachinga tumepigwa ila hili kundi fulani ambalo lipo kwenye system wanakuja kuunga mkono juhudi za serikali.

Halafu kwanini wamachinga, Press yao iwe Serena hotel?, Nani ana gharamia cost za kufanyia Press hapo?
 
Aisee hawa sio wamachinga tumepigwa ila hili kundi fulani ambalo lipo kwenye system wanakuja kuunga mkono juhudi za serikali.

Halafu kwanini wamachinga, Press yao iwe Serena hotel?, Nani ana gharamia cost za kufanyia Press hapo?
Machinga kufanya press! Tena Serena!
 
Du,haya mapya kwelikweli.Machinga,presi,comferensi,serena hoteli ? Kweli hiyo ina macho hiyo.Ya kubambikizwa hiyo na ma........ vinginevyo ungesikia kauli.Huo ni mkusanyiko usio halali tena uvunjifu wa amani.Wajaribu, tutawavunja miguu.Eti na agenda ipo ya kumpongeza malkia wa wasukuma.

Waandalieni,maji,chai,kahawa na vitafunwa vya kutosha.TBC,CHANNEL 10 Habari Leo, paskali nk.na wale wa kupamba msikosekana kuliongezea chumvi.Hapa taarifa za kiintelijinsia zinasomaje.

Hiki ni kikao kilichoitishwa na ma.........m ili kuwarubuni kuwa ni wenzao kuwa wametendewa haki wakati jamaa walishaweka kibindoni 20 20 20 20...........sasa wanawageuka.Hawa ni sawa na wale waliokuwa wanakataa katiba mpya wakajisahau kuwa wamevaa nguo imeandikwa katiba mpya.Ni vigumu sana kugeuza uongo kuwa ukweli,lazima utaumbuka tu.PGO.

Tunasubiri kikao MACHINGA,PRESI COMFERENSI,SERENA HOTELI DARESALAMU.Mfadhili nani ?
 
Mh.Mkuu wa mkoa ndg.Amos Makala kwa kuwathamini ndugu zetu Wamachinga amewaongezea siku 12....siku 12....siku 12 kujipanga vyema....

Kongole kwake mh.Makalla👍

#Siempre Serikali Sikivu Ya Awamu ya 6View attachment 1980143
Mwisho wa siku utaniambia.Mafuriko haya sio ya kuzuia kwa kutumia gunia kama unavyodhani. SIMPLE MIND.........
 
Hawa ni UVCCM wameandaa hii kujifanya machinga
 
Mwisho wa siku utaniambia.Mafuriko haya sio ya kuzuia kwa kutumia gunia kama unavyodhani. SIMPLE MIND.........
Lengo la serikali ni zuri tu....ila kuna wachache wanaziingiza shari ndani yake....

Ila nijuavyo mabadiliko yoyote mwanzo huwa magumu na yana gharama.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…