Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.
Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.
Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.
Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.
Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.
Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.
Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.