Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenyewe Rais ndio anaesuka mipango ya kukaa muda mrefu madarakani.Dkt Magufuli alishasema hatoongeza muda hivi wanaosema aongeze muda wanafikiri wanamfurahisha nani? Nadhani misingi aliyoijenga Dkt Magufuli ni muhimu tujiandae namna ya kuilinda na kuiendeleza
Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.
Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.
Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.
Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.
Basi mkuu iko hivi, kama wewe huwezi kuwa rais kuna wengine wanaweza. Watanzania tupo zaidi ya milioni 60 hivyo tupo tunaoweza kuwa marais. JPM hawezi akawa mtu pekee kati ya watu 60,000,000 mwenye akili ya kuwa rais.Mkuu urais ni taasisi nyeti,kuna few chosen vessels like JPM ndo wanafaaa,kwangu Mimi kazi Yangu inanitosha,urais tumwachieni JPM.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
BOUBLE STANDARD YA HALI YA JUU SUALA HILI KIUNDANI LINALAZIMISHA HATA MFANYA BIASHARA MKUBWA AWE MACHINGA ILI AEPUKANE NA RABSHA MBALI MBALI KUNA UBAYA GANI HAPO KARUME KUKAJENGWA MJENGO UTAKAOKUWA NA FREMU 500 ILI KUWARASMISHA RASMI KIMPANGILIOMachinga na wafanyabiashara wote lazima mjifunze kuishi bila kukariri aina moja ya maisha, akifa je mtaandamana kwenda nae ndani ya kaburii!!?
Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.
Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.
Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.
Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.
Huwezi kumlinganisha mtoto aliyekulia Manzese, Buguruni na yule aliyekulia Oyster bay.JPM akiamua kuchukua njia hiyo itakua Tanzania haina tofauti tena na Burundi, Uganda, Rwanda, Sudan, Congo hatutakua na lingine la kujivunia, atakua ameturudisha nyuma miaka 50, pamoja na umasikini wetu na elimu mbovu ya CCM na uminyaji wa haki za binadamu bado tulikua na la kujivunia kwamba Rais anakaa miaka 10 tu.
Kwani ya Uganda ilikuwa inasemaje Mkuu?Katiba ya Tz inasemaje mkuu? Naheshimu sana maoni yako
Mkuu, na wewe ni mmoja wa Machinga nini?Sijawai kuua ntaua