Wamachinga: Tuko tayari kuandamana 2025 Rais aendelee kubaki madarakani

Wamachinga: Tuko tayari kuandamana 2025 Rais aendelee kubaki madarakani

Kwa hio kwa sababu yao tuu ndio katiba ivunjwe!
Wao wana umuhimu gani zaidi wa watu wote Tanzania wanaotarajia Magufuli amalize miaka yake ya uongozi iliobaki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A coordinated move
Sure mkuu, alafu hiki kitu nimewahi kukihisi. Wameanza wamachinga, watafuata wakulima, madereva, mama ntilie hadi 2025 almost kila kikundi kitakuja na hii issue. Bungeni kama unavyojua na inavyoonekana ni “NDIYO” kwa kishindo

And the deal is done 🤦🏽‍♂️
 
Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.

Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.

Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.

Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.


Kiuhalisia kupitia hawa watu serekali inapoteza mapato sana, vile vijisehemu vilivyo mbele Ya maduka kwa wamachinga ambao hawakuwahi nafasi mapema Kariakoo, waliowahi nafasi wanakodisha vile visehemu kwa kodi Ya laki mbili kwa mwezi, wakati wapo watu wanalipa frem laki moja hadi elfu hamisini na wanalipa kodi zote za manispaa na mapato TRA, Sasa inakuaje mtu ana uwezo Wa kulipa laki mbili kwa mwezi halipi chochote zaidi Ya elfu 20 kwa mwaka,
Kwa utaratibu huu, watu lažima waache frem ili wawe machinga tu, kwa awamu hii machinga watakua wanapiga sana pesa kuliko hata baadhi Ya watu wanaomiliki fremu.

Kiuhalisi kupitia hawa watu serekali inakosa pesa Nyingi sana, maana kuna wengine wameamua kuhamishia maduka barabarani, ukiangalia mzigo alionao machinga anazidi hadi mzigo Wa kwenye frem kwa baadhi Ya maduka.
Kwa kuandamana wapo sawa ni wajanja hawa, kwani wataka kutetea masalahi yao maana wameshasoma udhaifu Wa serekali upo wapi, serekali izinduke kupitia hawa watu inapoteza mapato sana.
 
Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.

Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.

Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.

Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.



Wamachinga ni Spika tu, Nyuma yake kuna "MATAIKUNI" wanaowapigisha NGOMA.
 
"Nani atamfunga paka kengele"

Hakuna kitabu kizuri kukisoma kama hiko.

Ilianza na Ally Kessi wa Nkasi, akaja Richard Ndassa. Nilijua ni mvua za rasharasha

Juzi niliona ya Bwana Sanga

Leo machinga, sijui kesho atakuwa nani??

Swali la kujiuliza

Nani atamfunga Paka kengele???
 
Kiuhalisia kupitia hawa watu serekali inapoteza mapato sana , vile vijisehem vilivyo mbele Ya maduka kwa wamachinga ambao hawakuwahi nafasi mapema kariakoo, waliowahi nafasi wanakodisha vile visehem kwa kodi Ya laki mbili kwa mwezi , wakati wapo watu wanalipa frem laki moja hadi elfu hamisini na wanalipa kodi zote za manispaa na mapato TRA , Sasa inakuaje mtu ana uwezo Wa kulipa laki mbili kwa mwezi halipi chochote zaidi Ya elfu 20 kwa mwaka,
Kwa utaratibu huu , watu lažima waache frem ili wawe machinga tu , kwa awam Hii machinga watakua wanapiga sana pesa kuliko hata baadhi Ya watu wanaomiliki frem ,
Kiuhalisi kupitia hawa watu serekali inakosa pesa Nyingi sana , maana kuna wengine wameamua kuhamishia maduka barabarani , ukiangalia mzigo alionao machinga anazidi hadi mzigo Wa kwenye frem kwa baadhi Ya maduka .
Kwa kuandamana wapo sawa ni wajanja hawa, kwan wataka kutetea masalahi yao maana wameshasoma udhaifu Wa serekali upo wapi , serekali izinduke kupitia hawa watu inapoteza mapato sana .
Machinga anauza laki tatu mpaka tano kwa siku na halipi chochote zaidi ya 20,000. Kuna machinga mahali anauza zaidi ya pis 40 za viatu kwa siku na kila Pis hakosi wastani wa faida kati ya 1500-3000. Hapo ana kipato cha zaidi ya 50,000 kwa siku na halipi kodi. Raha sana hii.
 
Imefikia hatua vijana tuliobaki na akili timamu tujipange, hawa kenge wakipita barabarani watandikwe mpaka washangae.

Kama mbwai na iwe mbwai, huu mkakati wa kuikabidhi nchi yetu tukufu kwa kinchi kama Rwanda hautafanikiwa.
 
Back
Top Bottom