Wamachinga: Tuko tayari kuandamana 2025 Rais aendelee kubaki madarakani

Wamachinga: Tuko tayari kuandamana 2025 Rais aendelee kubaki madarakani

Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.

Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.

Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.

Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.


Kwan hii nchi ni ya wamachinga pekee yenu ?
 
Mbaya zaidi hawa wamachinga wa sasa sio RAIA was Tanzania , wapo wauza karanga na wauza sigara dar es salaam 80% sio RAIA!! Wenye vitoroli ambavyo wamegeuza maduka barabara zote za dar, mobile shops wao kama 40% sio RAIA!! Uhamiaje fanyieni Kazi!! Najua mmeanza Kule Bunju Kinondo!! Endeleeni msikomee hapo!!
 
Umachinga sio kazi ni vurugu tu.
Machinga wengi ni zero brain, darasa limepita kushoto.Unazuia barabara iliojengwa kwa dhumuni la kupita wewe unafanya ndio eneo la kuuzia, hii ni dhulma kwa walipa kodi, isitoshe vikodi vyenyewe unachangia kidogo halafu unazuia wanaolipa kodi vizuri wasipite.
 
Mkuu urais ni taasisi nyeti, kuna few chosen vessels like JPM ndio wanafaaa, kwangu mimi kazi yangu inanitosha, urais tumwachieni JPM.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Unyeti wake ni nini?
Uraisi ni kitengo cha kupiga hela, kama ulikuwa unanuka shombo za dagaa ukiukwaa unanukia pafyumu, hakuna unyeti wowote ila ni maneno waliolishwa wajinga.Mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kuwa raisi hakuna mteule, bali ukishachaguliwa watu hujipendekeza kukupamba eti mungu kakuteua.Lini mingu akateua vitu walivyobuni binadamu.
 
Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.

Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.

Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.

Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.

Inawezekana wamefanya biashara nzuri wakati wenye maduka wameteseka.
Barabara zilizotengenezwa kwa lami kariako yapite magari kuingia madukani wameweka bidhaa zao. Kwa nini wasiseme hivyo
Kila anayenufaika ataunga mkono tu.
 
Serikali inataka kupanua wigo wa vyanzo vya mapato, Ili mapato yaongezeke ni lazima wamachinga watolewe barabarani wakalipie leseni, Kodi ya mapato na kodi nyingine zilizopo. Hawa hawana cha kujitetea nacho zaidi ya kuandamana ili Magufuli abaki madarakani?

Halmashauri zitakapoanza kazi ya kuwaondoa hawa machinga barabarani wala Magufuli hataongea lolote kwa sababu mpango wa serikali ni kuongeza wigo wa makusanyo ya fedha. Kama hawaongezi huo wigo wa kuongeza mapato. Hii miradi lukuki aliyoianzisha Magufuli kwa fedha za ndani anaimaliziaje?
Karikoo kama kitovu cha biashara Dar ni kero. Unapitaje ukanunue bidhaa dukani! Unapakije gari pembeni ya duka ubebe vitu vyako.
Hao wenye maduka wanauzaje, na wateja kutoka bara na nchi jirani wanapataje kero. Kwenye maduka si ndipo kodi zinapatikana? Au ni kutoka hao machinga?
 
Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.

Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.

Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.

Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.



Wamuongezee tu ila habari wanayo.
Namba inasomeka vizuri tu.
 
Siamini Kama wamachinga wote wanakubaliana na huu ujima.
Hata kama,Ila tulio wengi hatumtaki huyu mzee.Amekomesha watu wengi sana,km watumishi wa serikali,ajira hamna,TRA,bei za bidhaa juu,na TIS!!!
 
Hii kauli inaumiza Sana watumishi means ndo wasahau nyongeza za mishahara milele.
 
Wasenge hao kwanza wanalipa kodi ndogo kmmmk zao[emoji35]
 
Wamachinga wa Dar wamesema wanamshukuru Rais Magufuli kwa kuwajali na kutengeneza mazingira bora ya kufanya kazi.

Wamesema hakuna Rais aliyefanyia wema kama Rais Magufuli hivyo wako tayari kuandamana ili Rais Magufuli abaki madarakani.

Aidha wamachinga wamesema uongozi waliokuwa nao kwa takribani miaka saba ni uongozi wa kiuanaharakati hivyo wanataka kuchagua viongozi kwa kukubaliana.

Matatizo mengine waliyoyataja ni pamoja na kuwa na namna rasmi ya kukopeshana ili kuweza kuongeza mitaji ya biashara.


Endeleeni kuchangia mji na Kufanya biashara holela kwenye Vibaraza, Barabarani na njia za Watemnea Kwa Miguu.
 
Back
Top Bottom