Wamachinga waliozagaa pembezoni mwa barabara na sehemu zisizo rasmi katika miji mikubwa Tanzania waondolewe?

Wamachinga waliozagaa pembezoni mwa barabara na sehemu zisizo rasmi katika miji mikubwa Tanzania waondolewe?

Ule mwendo wa viwanda ungeenda sambamba na kuunganishwa kwa mitaji kwa wajasiriamali wadogo wadogo mfano kuliko kwenda kariakoo wakanunue mzigo kwa wholesaler n Bora wanajichanga hao kadhaa na wanaagiza kwa mzalishaji sababu mzigo utakuwa mkubwa lazima wawe na sehemu ya uhakika ya kufanyia Biashara na kuhifadhi mzigo

ushirika na patnership haikwepeki hapo patahitajika uwazi , kujituma na
Mfumo bora wa utendaji utaolenga haki ya majukumu na mgao kudhibiti ubinafsi , kudhulimiana
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la wamachinga kuzagaa pembezoni mwa barabara za magari na wapita kwa miguu na kuleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hizo.

Hii ipo kwenye mikoa Kama

Dar es salaam
mwenge - ubungo
Ubungo-shekilango-manzese-magomeni
Kariakoo-karume-ilala-buguruni
Kariakoo-m/mmoja-akiba
Ubungo-riverside-mwananchi
Ubungo-kimara-mbezi
Tegeta-boko-bunju
Mbagala-uhasibu
Tandika-Davis corner-buza.

Arusha
Round about Florida-Stend ndogo-Total petrol station
Mianzini-klm express-stadium-standkuu
Round about njiro-soko la madin-clock tower-kona Nairobi-kona mbauda
Kona mbauda-morombo
Sanawari-moivo
Ngulelo-philips-mianzin-sakina-kwa idd

Dodoma
Makole-Stend zamani--nyerere square
Chako ni chako - nyerere square
Chako ni chako-Round about-area c
Chako ni chako-Round about-four ways

Mwanza
Kona kirumba - mwaloni -mzunguko
Mwaloni-magomeni-kirumba polisi-kitangiri
Mzunguko-salmakoni-mlango mmoja-buzuruga
Kirumba-sabasaba-ilemela
Mabatini-magufuli-butimba-nyegez

Tanga
Mabanda papa - stend 12road-mkwakwan

Moshi
Round about YMCA-double road-sokoni-chini ya mti

Shinyanga
Juction ya kambarage stadium-stand ya Mohammed trans-buluba sec-ngokolo
Stand mpya-sokoni-stand ya maganzo-jimbon-juction ya kambarage

Na maeneo mengine ndani ya nchii ambayo unayajua wewe.

Pia kwa watu wanaohusika na kuboresha maisha ya wajasiriamali kwenye halmashauri sio mbaya mkapita hapa na kuchukua Yale yanaofaa na kuboresha miji yetu na kukuza maendeleo ya wajasiriamali hao wadogo wadogo na wakubwa pia kwa kuzingatia pande zote
Hawawezi kuondolewa, uvunjaji huo wa sheria za jiji unanunuliwa kwa shilingi elfu ishirini (20,000/=), na wewe ukitaka kanunue kitambulisho shs20,000/=, karibu ila usidai risiti wala usiulize zinakwenda wapi.
 
Kumekuwa na wimbi kubwa la wamachinga kuzagaa pembezoni mwa barabara za magari na wapita kwa miguu na kuleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara hizo.

Hii ipo kwenye mikoa Kama

Dar es salaam
mwenge - ubungo
Ubungo-shekilango-manzese-magomeni
Kariakoo-karume-ilala-buguruni
Kariakoo-m/mmoja-akiba
Ubungo-riverside-mwananchi
Ubungo-kimara-mbezi
Tegeta-boko-bunju
Mbagala-uhasibu
Tandika-Davis corner-buza.

Arusha
Round about Florida-Stend ndogo-Total petrol station
Mianzini-klm express-stadium-standkuu
Round about njiro-soko la madin-clock tower-kona Nairobi-kona mbauda
Kona mbauda-morombo
Sanawari-moivo
Ngulelo-philips-mianzin-sakina-kwa idd

Dodoma
Makole-Stend zamani--nyerere square
Chako ni chako - nyerere square
Chako ni chako-Round about-area c
Chako ni chako-Round about-four ways

Mwanza
Kona kirumba - mwaloni -mzunguko
Mwaloni-magomeni-kirumba polisi-kitangiri
Mzunguko-salmakoni-mlango mmoja-buzuruga
Kirumba-sabasaba-ilemela
Mabatini-magufuli-butimba-nyegez

Tanga
Mabanda papa - stend 12road-mkwakwan

Moshi
Round about YMCA-double road-sokoni-chini ya mti

Shinyanga
Juction ya kambarage stadium-stand ya Mohammed trans-buluba sec-ngokolo
Stand mpya-sokoni-stand ya maganzo-jimbon-juction ya kambarage

Na maeneo mengine ndani ya nchii ambayo unayajua wewe.

Pia kwa watu wanaohusika na kuboresha maisha ya wajasiriamali kwenye halmashauri sio mbaya mkapita hapa na kuchukua Yale yanaofaa na kuboresha miji yetu na kukuza maendeleo ya wajasiriamali hao wadogo wadogo na wakubwa pia kwa kuzingatia pande zote
Wamachinga wameharibu taswira ya kariakoo . Kariakoo pamekuwa pahovyo halafu pachafu mno
 
kwanini serikali isiwatafutie sehemu maalum za kufanyia kazi na sio pembeni ya barabara.
 
Sera mbovu za ccm ndio zimezalisha machinga ( mawakala wa kuinua viwanda na uchumi wa china ) badala ya kuzalisha wazalishaji ( kutumia fursa za raslimali zilizopo)
 
Hata sokoni kwa baadhi ya maeneo, sehemu ya wapita njia sokoni ndani ndani kuna bidhaa zinatundikwa chini yaani kupishana na watu ni kazi kweli kweli!
Vipi huna wazo mbadala nn kifanyike ili pande zote zisiumie Bali zifaidike
 
Haiwezekani...na haitakaa ifanikiwe....

Maana nchi ni masikini na hiyo ndio only option ya wao kupata ugali

Hata uwe na majeshi kama ghadafi,huwezi zuia an angry man to fight for his bread..Nothing!

Solution ni kujenga sera inayofanya option ya kufanya umachinga ni hasara kwake yeye binafsi zaidi ya opportunities zingine

Yaani unajenga kazi na opportunities zingine kiasi kwamba kufanya biashara ya umachinga ni hasara bin hasara,then hapo naturally watu wote wataacha umachinga wataenda kufanya hizo ishu zingine zenye pesa maradufu ya upumbavu wa umachinga

Chini ya hapo,no option..utaua watu kila siku na bado wataendelea kua barabarani....ni ukosefu wa akili wa hawa viongozi including wewe binafsi...full of stupidity
Vipi swala la kuunganisha mtaji kwa wale wenye Biashara zinazofanana vipi hili haliwez kuwa mbadala kuliko kukuta watu 20 wamejipanga barabara I unawagswa mafungu manne unawaunganisha mtaji unawapa physical permanent location kwakumpa au kununua kikundi kimoja alafu unadevelop mtaji kwa kushirikiana na halmashauri au benk pili unawadevelop kibiashara kwa kuangalia fursa zaid ya kile walichokuwa wanafanya vip hii haiwez kuwa solution
 
IMG_20201205_113111.jpg
IMG_20201205_113055.jpg
 
Wakuu wa mikao wanafahamu, ila maagizo bado hayajatolewa kutoka juu...




Cc: mahondaw
 
Ole wake atakaewagusa wapiga kura wangu.inhiiiiiiiiiiiiiii!!!
 
Mtupigie picha mtuletee huku tuone je wamefanikiwa kusimamia hili?
 
Back
Top Bottom