Wamachinga wauza Juice Karume Ilala

Wamachinga wauza Juice Karume Ilala

haahhahaha nimevunjika mbavu mbele za watu kwenye usafiri wa uma, we mtoa mada ni mjinga sana..
 
Mkija kushtuka mshapigwa[emoji16][emoji16].
Kununua kitu kwa lazma uwa inaumaa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka Sana. Kuna siku natoka zangu k.koo naelekea Karume, nipo na mshua. Kufika maeneo ya breweries, karibia na getini, Kuna jamaa akamuita mshua, kwa style kama yako. Nakuja kugeuka nyuma, nashangaa mshua kasimama anaongea na jamaa. Jamaa anamuuliza habari ya siku nyingi mzee? Kitambo Sana sikuoni, vipi ishu zako bado ni zile zile? Hapo mshua ashapokea juice anakunywa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Ikabidi nikalipia ile juice alaf nikamwambia mshua tuamshe, maana mm nawajua nishawazoea. Tumefika mbele, namuuliza mshua kama anamfahamu yule jamaa, father ananiambia "Sura yake sio ngeni, sijui hata nilimuona wapi maana navuta kumbukumbu haziji* [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Nikacheka Sana hadi mshua akaniuliza kama namjua yule jamaa. Nilivyomuelezea alicheka Sana
 
Kweli hata mimi Alisha nidaka na Salaam nyingi za bashasha. Bahati mbaya au nzuri nilisha jiwekea sheria ya kutokunywa juice za barabarani. Ila mimi sikumshitukia niliondoka nikijua kuwa mimi nime sahau tu, lazima tumekutana naye au tulikuwa naye sehemu. Kumbe ni tapeli wa kiaina.
Sasa kwa Nini hukumuuliza hujamkumbuka?
 
Yalinikuta siku moja,

Kuna mshikaji tuko nae Job, mdogo wake alikua anakujaga siku moja moja pale Job, sikua nimemkariri sana sura sababu aeza kuja labda mara moja Kwa mwaka.

Basi bana siku moja nikapita hapo karume kutafuta viatu vya madogo nikaitwa, oya broo, kugeuka nikakutana na mshikaji akaanza hizo salamu zao Kwa furaha kabisa. Basi kijuu juu nkajua ndo yule jamaa ambae kaka yake tuko nae job. Za masiku, mbona huji tena pale Kwa bro wako, kitambo no see, etc.

Nikamuuliza kwani toka kipindi kile anakuja pale job alikua anapiga hizi mishe za juice? Maana bro wake alisema yuko Chuo, akajibu mishe kaanza juzi kati sababu kamaliza chuo kazi hakuna. Nkasema sababu kaka yake yuko poa tu ngoja nimpoze dogo hata na chenji, nkampa 5,000/- chenji abaki nayo.

Hiyo siku ilikua weekend, so Monday nkaenda Job nkamuuliza mshikaji dogo vipi, akasema dogo hayuko tena Dar, alipataga kazi Arusha. Nkamsimulia kuhusu mkasa was jana yake pale karume, akasema sio kweli na akampigia dogo WhatsApp video kweli hakua Yeye na dogo kweli alikua ofisin nkajua nishapigwa hapa.

After a month nkaenda tena maeneo yale sikumuona yule jamaa.
Hiki kisa chako ndio kimeniacha hoi kuliko vyote..
 
Moja wapo ya field za vijana wa mbweni ni hizo .."how to win the confidence of a person"
1.mtu kupigwa sound ya namna hiyo had unaingia line..
2. Mtu unatoka bank/ATM kufika nJE unakutana na mtu anakupiga sound ya kuuguliwa had unamwachia buku ten au Zaid... Nk nk ...
 
Mimi hapa... Ila nilicheka style Yao... Mimi jua lilikuwa limenichoma mpaka naona kma nazimia... Ghfla naona napewa juice ya muwa katikati ya watu... Nikaikata pap... Maana kma jamaa alikuwa anajua nime exhaust haswa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka Sana. Kuna siku natoka zangu k.koo naelekea Karume, nipo na mshua. Kufika maeneo ya breweries, karibia na getini, Kuna jamaa akamuita mshua, kwa style kama yako. Nakuja kugeuka nyuma, nashangaa mshua kasimama anaongea na jamaa. Jamaa anamuuliza habari ya siku nyingi mzee? Kitambo Sana sikuoni, vipi ishu zako bado ni zile zile? Hapo mshua ashapokea juice anakunywa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Ikabidi nikalipia ile juice alaf nikamwambia mshua tuamshe, maana mm nawajua nishawazoea. Tumefika mbele, namuuliza mshua kama anamfahamu yule jamaa, father ananiambia "Sura yake sio ngeni, sijui hata nilimuona wapi maana navuta kumbukumbu haziji* [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Nikacheka Sana hadi mshua akaniuliza kama namjua yule jamaa. Nilivyomuelezea alicheka Sana
Ahaaa eti keshapewa glass
 
Hivi jamani kuna mtu ameshawahi kupita maeneo ya Karume sokoni opposite na TFF akakutana na wale jamaa wanaouza Juice?
Yaani jamaa wale ni wajinga sana kuna siku nimepita pale kwa mguu jamaa muuza juice akanichangamkia as if ananijua ananiongelesha Mambo vipi we jamaa? Habari za siku nyingi? Kitambo sana we jamaa upo?

Huku ananipimia juice ananiambia karibu sana mwanangu, nikiwa Sina hili na lile nikanywa Funda la kwanza, la pili mpaka la tatu huku navuta kumbukumbu huyu jamaa ni wapi Songea au Azania nilisoma nae? Nikawa sipati majibu. Jamaa akawa ameshawadaka wengine kwa mtindo huo huo. Nimekunywa imebaki robo glass namrudishia glass akaniambia buku tu. Ndio akili ikarudi nikajua kumbe hawa jamaa ndio ishu yao kufosi?

Nikamwambia nina jero akawa ananikomalia nikamwambia sikuuliza bei na wewe ukawa umeshanikaribisha . Chukua hii jero. Kuna mtu wa hapa Dar au aliyewahi kupita maeneo yale ikamtokea hii ishu?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upo sahihi kabisa mkuu, yalimkuta mdogo wngu wakamlipisha buku 2 kwa glas ya juicecola

Mwanzoni wanakuchangamkia kama watu wa kutoka kijiji kimoja, then hujakaa vizuri mara wamekupimia na kukuuliza bimkubwa hajambo we jamaa kitambo?..... ukishapiga tu tama ya kwanza wanauweka wa mbuzi na kujifanya hawakujui utafiti wangu unaonyesha wapo wanaolipishwa hadi buku 5 kwa glas
 
Hivi jamani kuna mtu ameshawahi kupita maeneo ya Karume sokoni opposite na TFF akakutana na wale jamaa wanaouza Juice?
Yaani jamaa wale ni wajinga sana kuna siku nimepita pale kwa mguu jamaa muuza juice akanichangamkia as if ananijua ananiongelesha Mambo vipi we jamaa? Habari za siku nyingi? Kitambo sana we jamaa upo?

Huku ananipimia juice ananiambia karibu sana mwanangu, nikiwa Sina hili na lile nikanywa Funda la kwanza, la pili mpaka la tatu huku navuta kumbukumbu huyu jamaa ni wapi Songea au Azania nilisoma nae? Nikawa sipati majibu. Jamaa akawa ameshawadaka wengine kwa mtindo huo huo. Nimekunywa imebaki robo glass namrudishia glass akaniambia buku tu. Ndio akili ikarudi nikajua kumbe hawa jamaa ndio ishu yao kufosi?

Nikamwambia nina jero akawa ananikomalia nikamwambia sikuuliza bei na wewe ukawa umeshanikaribisha . Chukua hii jero. Kuna mtu wa hapa Dar au aliyewahi kupita maeneo yale ikamtokea hii ishu?? 😂😂😂😂
Iliwahi kunitokea maeneo ya hapo ilala kwa mkuu wa mkoa, yule jamaa alinichangamkia as if tunajuana ,akanipa juice..nikanywa nlivyomaliza akanambia bei 1000, nikamwambia nina 500 tu.
 
Hapo hapo Karume 2012 walishawahi kunifanyia kama wewe nimechoka nimechakaa na bahasha yangu ya khaki natafuta kazi maofisini... jua limenipiga nina njaa si akajifanya kunijua full kunichangamkia nikajisemea kimoyoni itakuwa rafiki yangu wa utotoni huyu yeye amenikumbuka mimi nimemsahau.

Nimekunywa nimemaliza akaniambia toa 700 wakati huo sina nauli nimetoka posta kwa miguu naelekea Tandika lilitokea battle sio ya dunia hii, amechana shati mimi nimemwaga juice na keki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mwana huwa anavaa cap mara nyingi nyeupe yupo karibu na geti la kwanza kuingia tbl napita nikaona wana wanakunywa juice nikauliza bei akasema 500 nikanywa ikaisha baadae anasema nimlipe buku eti nimekula na cake dah na alikaza kweli nikamlipa kwa unyonge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka Sana. Kuna siku natoka zangu k.koo naelekea Karume, nipo na mshua. Kufika maeneo ya breweries, karibia na getini, Kuna jamaa akamuita mshua, kwa style kama yako. Nakuja kugeuka nyuma, nashangaa mshua kasimama anaongea na jamaa. Jamaa anamuuliza habari ya siku nyingi mzee? Kitambo Sana sikuoni, vipi ishu zako bado ni zile zile? Hapo mshua ashapokea juice anakunywa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Ikabidi nikalipia ile juice alaf nikamwambia mshua tuamshe, maana mm nawajua nishawazoea. Tumefika mbele, namuuliza mshua kama anamfahamu yule jamaa, father ananiambia "Sura yake sio ngeni, sijui hata nilimuona wapi maana navuta kumbukumbu haziji* [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Nikacheka Sana hadi mshua akaniuliza kama namjua yule jamaa. Nilivyomuelezea alicheka Sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yalinikuta siku moja,

Kuna mshikaji tuko nae Job, mdogo wake alikua anakujaga siku moja moja pale Job, sikua nimemkariri sana sura sababu aeza kuja labda mara moja Kwa mwaka.

Basi bana siku moja nikapita hapo karume kutafuta viatu vya madogo nikaitwa, oya broo, kugeuka nikakutana na mshikaji akaanza hizo salamu zao Kwa furaha kabisa. Basi kijuu juu nkajua ndo yule jamaa ambae kaka yake tuko nae job. Za masiku, mbona huji tena pale Kwa bro wako, kitambo no see, etc.

Nikamuuliza kwani toka kipindi kile anakuja pale job alikua anapiga hizi mishe za juice? Maana bro wake alisema yuko Chuo, akajibu mishe kaanza juzi kati sababu kamaliza chuo kazi hakuna. Nkasema sababu kaka yake yuko poa tu ngoja nimpoze dogo hata na chenji, nkampa 5,000/- chenji abaki nayo.

Hiyo siku ilikua weekend, so Monday nkaenda Job nkamuuliza mshikaji dogo vipi, akasema dogo hayuko tena Dar, alipataga kazi Arusha. Nkamsimulia kuhusu mkasa was jana yake pale karume, akasema sio kweli na akampigia dogo WhatsApp video kweli hakua Yeye na dogo kweli alikua ofisin nkajua nishapigwa hapa.

After a month nkaenda tena maeneo yale sikumuona yule jamaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wanakunywa na hawapati hayo magojwa.

Ingekua wanaokula na kunywa mtaani wanaugua basi hospitali zingekua zimejaa watu.
Wanajikuta wakishua.......load ila siku
tunakunywa juice za miwa ,parachichi nk na hatupati hayo matumbo
 
Halafu kutwa mnadai huku mikoani kuna watu washamba.

Kumbe huko Dar napo kuna washamba, unawezaje kunyweshwa juisi na mtu usimjua.

Au ni njaa?
 
Nilichojifunza hapo ni ' Customer service' namna ya kumvutia mteja ambae hakuwa wako na ukaweza kumchangamkia na kumfanya apate huduma ya bidhaa yako.

Bonge la akili hiyo.
 
Back
Top Bottom