Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Duuh!Siasa Mpaka Kwenye JuiceHizo juisi na matumbo ya kuhara sawa na Lissu na Ubelgiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh!Siasa Mpaka Kwenye JuiceHizo juisi na matumbo ya kuhara sawa na Lissu na Ubelgiji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bubu alichezea KichapoNakumbuka wakat wa kampeni za uchaguz mkuu wa 2015 siku ya mwisho ya kufunga kampeni pale jangwani wakati huo EDWARD LOWASA NDIO MGOMBEA WA CHADEMA
alitokea bubu mmoja akatugawia karanga watu wote wa eneo langu baadae akaanza kudai hela kwa kila mmoja Tena kwa nguvu ila tulifanikiwa kumdhibiti na kichapo akapewa
Mjini hakuna Cha bure
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Njaa Broo,Halafu kutwa mnadai huku mikoani kuna watu washamba.
Kumbe huko Dar napo kuna washamba, unawezaje kunyweshwa juisi na mtu usimjua.
Au ni njaa?
Sio chai wapo kwenye mkokoteniWewe jamaa una roho ngumu sana, hii chai ya jioni bila shaka?
Mm ni mara kibao na wako wawili ktk panda zote za barabara huwa wananichangamkiaga sana kumbe ndio michongo yao.Kweli hata mimi Alisha nidaka na Salaam nyingi za bashasha. Bahati mbaya au nzuri nilisha jiwekea sheria ya kutokunywa juice za barabarani. Ila mimi sikumshitukia niliondoka nikijua kuwa mimi nime sahau tu, lazima tumekutana naye au tulikuwa naye sehemu. Kumbe ni tapeli wa kiaina.