Wamama/wadada kama umebahatika kukuzwa na wazazi wako wawili, ujue hela iliyokukuza ilitoka kwa baba!

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
Kuna mtu aliuliza swali hili hapa kwenye mtandao wa "X". Nasikitika majibu ya jinsia ya kike ni kana kwamba hawajitambui kabisa! Sasa nawaambia acha kuendelea kuvuna laana! Wababa hatutaki kujionyesha! Kipato kinachoendesha familia hata kama mama ajimwambafai kuwa ni yeye, nguvu ya hicho kipato na kila kitu kinatoka kwa baba! Labda kama baba hayupo!
 
Akitokea nyoka ndani ya nyumba utasikia mwanamke akipiga kelele.

"Yesu na maria/mtumee muiteni baba yenu aue nyoka".Hapo mwanamke kashatoka nje anamsukumiza mumewe aingie ndani akaue nyoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…