Wamanyema ndio kabila pekee lenye watu majasiri, shupavu, na wajanja hapa nchini

Waha wachapakaz

Wamanyema mamwinyi

Ova

Kabisa mkoa wa kigoma unawakilishwa na hao waha hawa wengine hawana identity, ndio maana mtu akitaja anatokea kigoma watu wanadhani ni muha kama ilivo mbeya mtu akitaja unahisi mnyakyusa,
 
kabila kutoka Congo.
Bruh kama wewe sio mhadzabe au mgogo, basi juwa kuwa na wewe asili yako sio Tanzania. Historia inaeleza ukweli kuwa makabila yote yalikuja kutoka somewhere na kujikita tanganyika ambapo leo ni Tanzania.
 
Kabisa mkoa wa kigoma unawakilishwa na hao waha hawa wengine hawana identity, ndio maana mtu akitaja anatokea kigoma watu wanadhani ni muha kama ilivo mbeya mtu akitaja unahisi mnyakyusa,
Haya unayoongea ni ya miaka hii, ila kuanzia 2000 kushuka chini maeneo mengi ya nchi, hakuna watu waliokuwa wanafahamu kabila linaloitwa waha.
 
Umalaya umesahau,si wake si waume,ukioa mmanyema akakwambia/ukakuta bikira usiamini,Wana dawa za kurudisha bikira
Aisifiae mvua, jua imemnyeshea. Umejuaje kama wanaume wa kimanyema ni malaya au washakutenda dada yetu?
 
Haya unayoongea ni ya miaka hii, ila kuanzia 2000 kushuka chini maeneo mengi ya nchi, hakuna watu waliokuwa wanafahamu kabila linaloitwa waha.

Mimi kuwafahamu nilijua waha kupitia tajiri wa World oil miaka ya zamani na identity ya mkoa wako ni waha kwani ndio wengi ninyi vikabila vingine vidogovidogo hamna umaarufu iwe elimu au biashara
 
Halafu maeneo uliyotaja nahisi itakua ya uswahilini wanakoishi hao wamanyema hebu tueleze hao waha hapo kigoma mjini wanaishi wapi? Utakuta ndio wanamajumba mazuri ya kisasa
 
Ujasiri bila pesa Ni uzwazwa
 
Mimi kuwafahamu nilijua waha kupitia tajiri wa World oil miaka ya zamani na identity ya mkoa wako ni waha kwani ndio wengi ninyi vikabila vingine vidogovidogo hamna umaarufu iwe elimu au biashara
Asilimia 75 ya wakazi na wenyeji wa Kigoma mjini ni wamanyema. Afu kama nilivyokwambia kwamb wamanyema wengi waliuacha mkoa wa Kigoma na kusambaa katika maeneo mbali mbali ya nchi, huku wakiwaacha waha na makabila mengine yaendelee kulima nk. Hata mwl Nyerere wakati wa kudai uhuru alipokwenda Kigoma alikutana zaidi na wazee wa kimanyema kule ujiji.
 
Jamaa ananieleza hao wamanyema ndio waliokua wezi wakubwa kwenye treni na waasisi wa wizi
Hapo kwenye wizi hata kama wao (waha) ndio wezi lazima jamaa yako aliweke kabila lake mbali na wizi huo.
 
Hapo kwenye wizi hata kama wao (waha) ndio wezi lazima jamaa yako aliweke kabila lake mbali na wizi huo.

Hapa ananitajia maeneo ya kisima hewa na sijui mjini mwema ndio wako waha halafu pakishua kua wenyeji uliowataja ni fukara na wanaishi maeneo duni ni kweli?
 
Na je ni kweli hua mnatoka makao makuu ya mkoa kwenda kufuata bidhaa za dukani huko kasulu?
 
Aslimia 75 ya wakazi Kigoma ni Wamanyema? Zaidi ya Kigoma Mjini wanapatikana wapi Mkoa wote, Waha unawakuta Kasulu, Kibondo, Buigwe, Uvinza
 
Aisifiae mvua, jua imemnyeshea. Umejuaje kama wanaume wa kimanyema ni malaya au washakutenda dada yetu?
Infact Kuna mke wa mmanyema nilimpelekea Moto Hadi akamwacha mumewe,lakini ile familia baba anakula watoto,anakula wakwe
 
Aslimia 75 ya wakazi Kigoma ni Wamanyema? Zaidi ya Kigoma Mjini wanapatikana wapi Mkoa wote, Waha unawakuta Kasulu, Kibondo, Buigwe, Uvinza

Nilitaka kushangaa maana mfano Dodoma wagogo wanajiona wenye mkoa lakini wenye pesa na wafanyabiashara ni Warangi wa kondoa
 
-Makabila yanayoongoza Kwa ujanja ni makabila ya ukanda wa pwani, na hata ustaarabu ulianzia pwani

Ewaaaa na hasa dini ya kiislamu ujue watu wa bara walikua wanatawazia magunzi ya mahindi na udongo zamani, hata mapishi wanawake wa kiislamu hata awe kijijini sana lazima atajua kupika , nikiwa mafinga hua nakula kwa mama mmoja anaitwa mama mwislamu hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…