beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Snoop anaishi Los Angeles. Upande mwingine kabisa wa Marekani.Vip brother ukikutana anko snoop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Snoop anaishi Los Angeles. Upande mwingine kabisa wa Marekani.Vip brother ukikutana anko snoop
WeeeddddMimi nimefika jiji la Dodoma, hata hiyo new york haifikii.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hata mimi nimetembelea Majiji kadhaa nchini! Hakika nimeinjoi sana. Kuanzia Dar es salaam, Dodoma, Tanga, Mbeya, Arusha! Na sasa naangalia uwezekano wa kutembelea Jiji la Mwanza!!
Yeah!! Kila mtu ashinde mechi zake. Maana hakuna namna nyingine.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Usiku ni kama vile watu wanetembea juu, yaani sijui ni ushamba, hata nilikuwa sielewi
Kitawaka humu, waitwe wote hapa.Subiri waje watu wa death to America!!
You mean Kensington right ?...alafu hizi sehemu ni karibu karibu, Phily is the largest city in Pennsylvania and one of the oldest in the U.s.Au Philadelphia na kengston kwa mahomeless alooh[emoji848]
[emoji122]In New York (ayy)
Concrete jungle where dreams are made of
There's nothin' you can't do (that boy good)
Now you're in New York (welcome to the bright light, baby)
These streets will make you feel brand-new
Big lights will inspire you
Let's hear it for New York
New York, New York
Wameamua kuipa majina ya mitaa au, hauleweki mkuu.
Ooh kumbe hongera kwakeNgoma ya jay z hii na bibiye Alicia keys [emoji3577][emoji3577][emoji108]... Anakwambia kama yeye (jay z) ameweza kufanikiwa kwenye Jiji hilo , basi anaweza kufanikiwa popote duniani
avatar yako ni 😋Kama Ile avatar ya NALIA NGWENA nayo khaaa😃😃inachomoa betri
Unaenda kupigwa na kitu kizito😅😅😅avatar yako ni 😋
Alitakiwa aombe usawa na Sio kuongoza hatuwezi jiongoza
Wapigania Uhuru walipigania maslai Yao binafsi na Sio ya waafrika wote hata baada ya Uhuru wakageuka kuwa wakoloni weusi kwa kujimilikisha raslimali zetu wao na familia zao huku mamilioni ya waafrika wakitopea kwenye lindi la umasikini maradufu zaidi.Sijui uhuru ulikua wa kazi gani zaidi ya kujipa wao na watoto wao ulaji?
Sent using Jamii Forums mobile app
nitakivumilia tu 😅😅Unaenda kupigwa na kitu kizito😅😅😅
Una spirit ya Al shababy....unajitoa mhanganitakivumilia tu 😅😅
😅😅 ni kujilipua tu... ajali kazini maisha ni ku take Risk tuUna spirit ya Al shababy....unajitoa mhanga
Napenda mashujaa Kama nyinyi😅😅 ni kujilipua tu... ajali kazini maisha ni ku take Risk tu