Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, mastaa wao wengi wa India wanaishi Mumbai. Mji uliojengeka na wa kistaarabu. New Delhi ukipewa gari katikati ya jiji unaweza ushindwe kuendesha, honi ni nyingi hadi masikio yatakuuma.Naskia Mumbai India pa kiboya Tu ni kweli mkuu?
Kwani hata ukisema nani atakujua mkuu.Mkuu mambo ya kazi haifai humu
Bila picha thread inakuwa haina maana hiyo sura yako i crop au weka hata imoji kuizibaPicha nyingi sura yangu inaonekana hazifai
Natamani niende siku Moja nikapaoneHapana, mastaa wao wengi wa India wanaishi Mumbai. Mji uliojengeka na wa kistaarabu. New Delhi ukipewa gari katikati ya jiii unaweza ushindwe kuendesha, honi ni nyingi hadi masikio yatakuuma
Hii ni asili ya mwafrika hakuna anaemfikiria mwingineInawezekana sana, Bongo kila anayepata nafasi anajiwazia yeye kwanza na familia yake
Yote heri mkuu, hapa Tanzania tunazaliwa hadi tunakua wazee kuna sehemu tunajikuta hatujafika. Hivi karibuni nilifika Chunya kwa mara ya kwanza nilipenda sana ile milima ya Kona za Jiji, unaona bonde la usangu kama upo kwenye helkopta. Nzuri sanaHata mimi nimetembelea Majiji kadhaa nchini! Hakika nimeinjoi sana. Kuanzia Dar es salaam, Dodoma, Tanga, Mbeya, Arusha! Na sasa naangalia uwezekano wa kutembelea Jiji la Mwanza!!
Yeah!! Kila mtu ashinde mechi zake. Maana hakuna namna nyingine.
Mimi huwa naikuta tiketi na pocket money mezani hata kuwaza kujumlisha gharama nashindwa, mara zote tunakuwa kwenye delegatesNauli to newyork to and fro na gharama za malazi na chakula sehemu ya kioato cha kati kwa muda wa wiki mbili zipoje?
Andaa dola laki sabaNauli to newyork to and fro na gharama za malazi na chakula sehemu ya kipato cha kati kwa muda wa wiki mbili zipoje?
Nauli na gharama au nauli tu fafanua zaidi. Naona mtoa mada anarukaduka tu na kusingizia mambo ya protokali za misafara ktk ziara mbalimbaliAndaa dola laki saba