Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

In New York (ayy)
Concrete jungle where dreams are made of
There's nothin' you can't do (that boy good)
Now you're in New York (welcome to the bright light, baby)
These streets will make you feel brand-new
Big lights will inspire you
Let's hear it for New York
New York, New York
 
Eti New York!...... Eti New York!.... New York ya Nyooko!...!!!

Hivi hiyo new York unadhani ni kama ushirombo eh!!? ..... Unaichukulia kirahisi rahisi hivyo eeh!?......

Vimiji vya kusini mwa jangwa la sahara umevitaja vizuri vyoote....kwa msaada wa google maps....

Ila kulee .....New York yenyewe sasa! Og!......teh!....! Mtihani!
 
Eti New York!...... Eti New York!.... New York ya Nyooko!...!!!

Hivi hiyo new York unadhani ni kama ushirombo eh!!? ..... Unaichukulia kirahisi rahisi hivyo eeh!?......

Vimiji vya kusini mwa jangwa la sahara umevitaja vizuri vyoote....kwa msaada wa google maps....

Ila kulee .....New York yenyewe sasa! Og!......teh!....! Mtihani!
Stop hating Sweetheart,
Learn to Live, it won't cost you a dime to be positive..!
 
Eti New York!...... Eti New York!.... New York ya Nyooko!...!!!

Hivi hiyo new York unadhani ni kama ushirombo eh!!? ..... Unaichukulia kirahisi rahisi hivyo eeh!?......

Vimiji vya kusini mwa jangwa la sahara umevitaja vizuri vyoote....kwa msaada wa google maps....

Ila kulee .....New York yenyewe sasa! Og!......teh!....! Mtihani!
Hahahahaha, Du! Pambana siku moja Muombe Mungu akujalie ufike
 
Kuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.

Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.

Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitaruri tena).

Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)

Majiji yenyewe ni haya:

Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)

Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)

Midlle East
Beirut (Lebanon)

Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)

Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika

North Amerika
Marekani(New York)

Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.

Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.
New York ni kama Mwanza tu mbona mkuu
 
Back
Top Bottom