mcTobby
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,072
- 12,119
Hapo Tokyo Kuna mtaa unaitwa Ginza district, I wish nipaone before sijafamie nimefika tokyo japan na taiwan pia ni moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Tokyo Kuna mtaa unaitwa Ginza district, I wish nipaone before sijafamie nimefika tokyo japan na taiwan pia ni moto
Sina roho ya chuki wala ya kimaskini, nimchukie mtoa mada namjua? Mambo mengine huwa ni masikhara tu mnayachukulia serious sana.Hizi roho za chuki na kimaskini ndio zinafanya waafrika hatusongi mbele.
Acha roho ya kimaskini mkuu.
Kama huwezi, wengine wanaweza.
terhanIla sijaona mtu anatamani kwenda Kabul,islamabadi au Baghdad [emoji41] mbona kote huko kuzuri[emoji1]
Usikariri mkuu USA sio km bongoWanali overwhelm, na hivi lipo pwani, inabidi waanze mikakati ya makusudi kuli evacuate kwa kuhakikisha states nyingine nazo wanatengeneza aina ya projects na jobs, business, life style, culture and taxing system kama ya New York City.
Maana kunachosababisha ile population and culture and life style ni Master Plan ya NYC, maana the rest of New York as State hazina shida
Natamani niende siku moja.Zile barabara zao nane, ingie kwenye mahotel ni balaa, Uzuri ukiwa na Dola haubadishi labda uamue. Unalipaa kwa dola kila kitu
Onesha yako kwanzasura yako ina makovu?
Kuna wenzako huku wanapinga mji wa Dodoma kujengwa.Kuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.
Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.
Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitaruri tena).
Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)
Majiji yenyewe ni haya:
Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)
Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)
Midlle East
Beirut (Lebanon)
Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)
Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika
North Amerika
Marekani(New York)
Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.
Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.
Daah wenzetu wameyajenga hasa hayo maeneo..ukifika si mindset inabadilika kabisa...imagine Las Vegas, Nevada, Miami, Loss Angeles..Mimi ndoto yangu ni Kwenda Los Angeles na Atlanta Georgia
Duh ,uko vzr, big up sanaKuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.
Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.
Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitaruri tena).
Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)
Majiji yenyewe ni haya:
Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)
Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)
Midlle East
Beirut (Lebanon)
Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)
Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika
North Amerika
Marekani(New York)
Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.
Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.
Khaaa why? Au hawana lodge za kutosha?Luanda Angola ni nyoko, lodge tunazolipa 20,000 bongo kule ni Dola 150, ila utakula kitimoto hadi uchoke. Kule kama wewe ni fundi magari utapata kazi nyingi sana. Niliwakuta vijana wa Mwananyamala Mbeya ndo wanapiga hizo dili