Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Villazza mnawaza wanawake tuUkute umeambiwa PM na demu huna hela,ndio umekuja kujibu huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Villazza mnawaza wanawake tuUkute umeambiwa PM na demu huna hela,ndio umekuja kujibu huku.
🤣🤣🤣🤣🙌🙌Una utani weweIla sijaona mtu anatamani kwenda Kabul,islamabadi au Baghdad [emoji41] mbona kote huko kuzuri[emoji1]
Kin la Belle (Kin the Beautiful)Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana.
Safi sana ....Nashukuru Mungu sana. Mimi napenda kusafiri sana
👌👌👌Aisee safi sanaDaah umeongelea Helsinki (Finland) umenitamanisha sana mkuu, ni kati ya majiji ambayo huwa natamani sana nifike, pamoja na Dublin (Ireland) napo
Nakuunga mkono binafsi majiji ninayoona mazuri kwa North America na Europe ni New York (US), Toronto (Canada), London (UK), Oslo (Norway), Paris (France), Stockholm (Sweden), Geneva (Switzerland), Munich (Germany) et al
Baadhi nimefika baadhi nimeyaona kwenye picha na video za ndugu na jamaa zangu waliofika na waliopo huko, binafsi hii ndio passion yangu yani nataka nikikusanya hela za kutosha kila likizo ndefu ninayopata niwe naitumia kusafiri nchi mbalimbali duniani, sisi wengine bila kusafirisafiri hatuoni kama maisha yana maana yoyote
Jmn mambo gani Tena haya 😅Mkataba umeisha, sahizi napambana mwenyewe
Swali zuri sana hili, Mimi napiga picha mpaka maua na vipepeo nini majengoUkitembelea majiji kama hayo kazi sio kujifotoa picha tu bali kuchukua picha za mitaa mbalimbali iliyokuvutia majengo open spaces hotel rooms madhari ya nje ya hoteli n.k sasa ulifeli wapi?
Ameshindwa hata kapicha kamoja wakiwa wanapata mlo wa usikuSasa mimi wa Tandahimba huku nitajuaje kuwa ni mji mkubwa?
😅😅😅😅Sasa mimi wa Tandahimba huku nitajuaje kuwa ni mji mkubwa?
Inakuhusu Nini Nshomile?Upo kwenye mashirika ya kimataifa??
Pambana ufike Singapore Mzee baba. Zile garden zake ni balaaKuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.
Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.
Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitarudi tena).
Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)
Majiji yenyewe ni haya:
Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)
Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)
Midlle East
Beirut (Lebanon)
Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)
Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika
North Amerika
Marekani(New York)
Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.
Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisikia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.
We kwako sio kipaumbele, kipaumbele chako uvune korosho uongeze nkeSasa mimi wa Tandahimba huku nitajuaje kuwa ni mji mkubwa?
L. A City of AngelsMimi ndoto yangu ni Kwenda Los Angeles na Atlanta Georgia
Tuone picha za hizo gardenPambana ufike Singapore Mzee baba. Zile garden zake ni balaa
Cna hapa ila nakumbuka niliwah kuogelea swimming pool ile ya gorofa unauona mji kwa chini ni balaa. Jamaa wamejitahd mbaya kabisaTuone picha za hizo garden