Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Kuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.

Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.

Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitarudi tena).

Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)

Majiji yenyewe ni haya:

Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)

Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)

Midlle East
Beirut (Lebanon)

Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)

Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika

North Amerika
Marekani(New York)

Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.

Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisikia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.
Mkuu ungetuekea na tupicha picha ukiwa huko NYC
 
Majiji hujijenga yenyewe kulingana na uhitaji wa vitu na watu.
Stendi na Soko la Dodoma ni mfano mzuri wa upotevu wa pesa
Mbona Dubai palikuwa jangwa zaidi kuliko hata Dodoma?

Imekuwaje leo hii pawe pazuri vile?

Tuwe tunajifunza kwa waliotuzidi maarifa na maendeleo, pia maendeleo ni utanuzi wa maeneo mengine si kila kitu kiwe eneo 1 tu la Dar tangu tupate uhuru.
 
Nilipata ya fursa ya kusafiri hadi KINSHASA mazee ile jiji hakuna east africa hii inasogea..nairobi ikasome mbali sana!!
Kule azam ice cream kwa ela ya kibongo ile ukwaju inauzwa elfu3..
Yaani kuna nchi unafika unashangaa.
Kuna maeneo mengi nimetembea na kuishi.hakuna umbea wala watu hawakupi siri ya nchi yao haijalishi maisha wanaishi ni magumu sana na ufisadi umetamalaki..
Hukuti watu wanaongelea siasa kabisa kama huku bongo!!bongo hata ukipanda daladala ukianza tuu kusema HII NCHI KILA MTU ANALAMBA ASALI utapata ushabiki sana.ila kuna sehemu hii hii africa ukisema hivyo kila mtu atakushangaa hadi unajishtukia
 
Kuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.

Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.

Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitarudi tena).

Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)

Majiji yenyewe ni haya:

Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)

Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)

Midlle East
Beirut (Lebanon)

Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)

Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika

North Amerika
Marekani(New York)

Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.

Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisikia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.
Nipo hapa hapa Seoul, wiki ijayo jumanne ntaelekea New York hivyo nitaleta mrejesho. Kuweni wapole
 
Hakika ipo siku tutakutana huko Los Angeles tupige selfie [emoji1702]
Huwa najivunia nimeshatembea duniani kwa kufika majiji ya Bongo Dar, Tanga, Arusha, Zoo.

Kenya Nairobi, Kisumu na mji wa Nakuru kumbe ni sawa na 0.001 kwa wanaoishi kama Mleta mada [emoji847]

Ila Mheshimiwa JK kaiishi hii dunia Wakuu, sidhani kuna jiji katika sayari hii hajakanyaga daaah...hao ndiyo waliobarikiwa sasa [emoji119][emoji4]
 
Back
Top Bottom