Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

Wamarekani lile jiji la New York waliamua aisee!

You mean Kensington right ?...alafu hizi sehemu ni karibu karibu, Phily is the largest city in Pennsylvania and one of the oldest in the U.s.
Ndio mkuu Kensington...kengston si uingereza?

Kumbe wako karibu? Ile miji Ina shida gani mbona wale homeless wanakata stimu ya kwenda huko?
 
Ndio mkuu Kensington...kengston si uingereza?

Kumbe wako karibu? Ile miji Ina shida gani mbona wale homeless wanakata stimu ya kwenda huko?
mkuu hata sielewi japokuwa wanasemaga hayo maeneo inaish jamii ya watu ambao ni working class...Na yes uingereza pia kuna kensington pia ambayo ni residence ya British royal family....
 
Hata mimi nimetembelea Majiji kadhaa nchini! Hakika nimeinjoi sana. Kuanzia Dar es salaam, Dodoma, Tanga, Mbeya, Arusha! Na sasa naangalia uwezekano wa kutembelea Jiji la Mwanza!!

Yeah!! Kila mtu ashinde mechi zake. Maana hakuna namna nyingine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nauli na gharama au nauli tu fafanua zaidi. Naona mtoa mada anarukaduka tu na kusingizia mambo ya protokali za misafara ktk ziara mbalimbali
Apo ni wastani wa chini wa kuishi Nu Yoko kwa mwaka mmoja. Japo wapo watu wanaishi chini ya hapo ..iyo nimetowa mtandaoni tu
 
Back
Top Bottom