Cha muhimu hana itikadi za ki shogaAsa mjapani anatengeneza vitu from scratch
Kama ni hivyo kwani kwao Google na Yahoo ni namba moja ( hajui codes? )
Huyo mjapani anachanganya na tech ya mzungu na makumpuni mengi ya Japan , yana hisa za wazungu(mashoga)
Mjapani ni kama kibaru tu, Kama alivyo Mchina
Hata vietnam waliandamana!Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.
Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.
Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.
======
View attachment 2525781
View attachment 2525782
View attachment 2525783View attachment 2525785
View attachment 2525786
Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.
Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.
Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.
======
View attachment 2525781
View attachment 2525782
View attachment 2525783View attachment 2525785
View attachment 2525786
Nchi nzima wanakubalianaje na serikali? Lazima wapingaji wawepo.
Marekani huwez ifananisha ni nchi yyte kule uhuru ni mkubwa sana, hata ww bwana wako akikunyima unyumba unaruhusiwa kuandamana na polisi watakusindikiza kwa Usalama zaid ila Urusi hayo mambo ya maandamano huwez sikia maana hakuna uhuru ni mbinyo kwenda mbele ww unafikir hao raia wa Urusi wanaofariki huko Ukraine Frontline ndugu zao hawaumii? Wanatumia sana lakin hawana jinsi maana Putin akiamua hakuna wa kumpinga so hamuwez kuandamana Wala kupaza sauti zenu popote.
Alafu usikute simu , website , internet unayotumia , vimetokana na huyo shoga unayemsemea
Mi natumia mjapani kuanzia gari simu hadi electronics. Situmii vifaa vya mashoga wenzenu wa USA.
Hata huko Urusi inapaswa pawepo na wapingaji.
Hayo ni mawazo yakoWajapan wanapewa ulinzi na Wamarekani ili waweze kukutengenezea wewe simu.
Utakuta anatumia Iphone ambayo CEO wake ni Tim Cook[emoji1787]
Extrovert anatumia simu yenye mfumo wa Android .Cha muhimu hana itikadi za ki shoga
Ili usipingwe na wote sharti uogopwe na wote kuliko anavyoogopwa binadamu wa kawaida.Haiwezekani kwa sababu ni taifa linaloongozwa kidikteta.
Hakuna cha ulinzi hapo, marekani anawafanya wajapani misukule yakeWajapan wanapewa ulinzi na Wamarekani ili waweze kukutengenezea wewe simu.
Okay sawaNakutania mkuu nimekuelewa.Tutaongea inbox
Tutajie taifa ambalo hakuna kila aina ya RAIA tutajie moja tuuu
Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.
Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.
Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.
======
View attachment 2525781
View attachment 2525782
View attachment 2525783View attachment 2525785
View attachment 2525786
Ndio uzur wa demokrasia. We huon urusi ilibid wakimbie nchi.Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.
Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.
Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.
======
View attachment 2525781
View attachment 2525782
View attachment 2525783View attachment 2525785
View attachment 2525786