Wamarekani waandamana Washington wakipinga Marekani kudhamini vita ya Ukraine, wampongeza Putin kuwa ni mzalendo

Wamarekani waandamana Washington wakipinga Marekani kudhamini vita ya Ukraine, wampongeza Putin kuwa ni mzalendo

Asa mjapani anatengeneza vitu from scratch
Kama ni hivyo kwani kwao Google na Yahoo ni namba moja ( hajui codes? )
Huyo mjapani anachanganya na tech ya mzungu na makumpuni mengi ya Japan , yana hisa za wazungu(mashoga)
Mjapani ni kama kibaru tu, Kama alivyo Mchina
Cha muhimu hana itikadi za ki shoga
 
Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.

Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.

Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.

======

View attachment 2525781
View attachment 2525782
View attachment 2525783View attachment 2525785
View attachment 2525786
Hata vietnam waliandamana!
urusi nako wanaandama kumpinga putin

 
Russia wapinga vita hawawezi kuandamana!
Kweli Marekani ni baba wa demokrasia, kitovu cha uvumilivu na ustaarabu.
Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.

Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.

Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.

======

View attachment 2525781
View attachment 2525782
View attachment 2525783View attachment 2525785
View attachment 2525786
 
Hii inawezekana katika nchi za kidemokrasia tu.
Russia wanaopinga uvamizi hawawezi kuandamana wala kuukosoa, wanapigwa marungu na kufungwa.
Nchi nzima wanakubalianaje na serikali? Lazima wapingaji wawepo.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Uko sahihi, vilaza hawaelewei.
Marekani huwez ifananisha ni nchi yyte kule uhuru ni mkubwa sana, hata ww bwana wako akikunyima unyumba unaruhusiwa kuandamana na polisi watakusindikiza kwa Usalama zaid ila Urusi hayo mambo ya maandamano huwez sikia maana hakuna uhuru ni mbinyo kwenda mbele ww unafikir hao raia wa Urusi wanaofariki huko Ukraine Frontline ndugu zao hawaumii? Wanatumia sana lakin hawana jinsi maana Putin akiamua hakuna wa kumpinga so hamuwez kuandamana Wala kupaza sauti zenu popote.
 
USA na NATO( colonialists) na UN Yao, wanaupeleka ulimwengu wanavyotaka wao.Maamuzi Yao ya hovyo yameharibu sana amani ya Africa,mf. Congo, Libya, Angola, nk. Wahovyo na hawapendi amani ya ulimwengu, The World needs powerful Russia and China to have Worldz balance of Power.
 
Wajapan wanapewa ulinzi na Wamarekani ili waweze kukutengenezea wewe simu.
Hakuna cha ulinzi hapo, marekani anawafanya wajapani misukule yake

Aliwaambia wa South korea hivyo hivyo. Mwezi jana kiduku aliingiza ndege zake south Korea na kukaa hewani zaidi ya masaa mnne na kuondoka bila madhala yoyote
 
Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.

Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.

Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.

======

View attachment 2525781
View attachment 2525782
View attachment 2525783View attachment 2525785
View attachment 2525786
Screenshot_2023-02-22-20-46-44-61_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Marekani yasema wamarekani wanaopinga sera za vita za Washington wameandamana kwenda Ikulu ya Marekani (White House) massa kadhaa baada ya Biden kufika Kyiv wakipinga serikali yao kutengeneza na kudhamini vita nje ya nchi.

Wamarekani hao pia walipaza sauti zao wakisema kuwa rais Putin si mtu mbaya kama anavyochafuliwa na US+NATO. "Putin ni rais mzalendo wa nchi yake, tunawahitaji kina Putin wengi zaidi, Marekani pia yawahitaji kina Putin wengi". Waliongea waandamanaji hao.

Waandamanaji hao pia wamelaani serikali ya Marekani kufuja pesa za walipa kodi wa nchi hiyo (USA) kwa kudhamini vita ya Ukraine wakati walipakodi hao hawanufaiki kwa chochote na vita hivyo zaidi ya kuteseka na kupanda kwa gharama za wese na maisha kwa ujumla.

======

View attachment 2525781
View attachment 2525782
View attachment 2525783View attachment 2525785
View attachment 2525786
Ndio uzur wa demokrasia. We huon urusi ilibid wakimbie nchi.
 
Ushoga uliletwa Afrika Mashariki na waarabu na mashoga mara nyingi hupenda sana kulitamka hilo neno.
 
“The conflict has exposed a deep global divide, and the limits of U.S. influence over a rapidly shifting world order. Evidence abounds that the effort to isolate Putin has failed, and not just among Russian allies that could be expected to back Moscow, such as China and Iran.
India announced last week that its trade with Russia has grown by 400 percent since the invasion. In just the past six weeks, Russian Foreign Minister Sergei Lavrov has been welcomed in nine countries in Africa and the Middle East — including South Africa, whose foreign minister, Naledi Pandor, hailed their meeting as “wonderful” and called South Africa and Russia “friends.”
On Friday, a year after the invasion began, the South African navy will be engaged in military exercises with Russia and China in the Indian Ocean, sending a powerful signal of solidarity at a moment the United States had hoped would provide an opportunity for reinvigorated worldwide condemnations of Russia.”




A global divide on the Ukraine war is deepening -
The Washington Post

 
Back
Top Bottom