Wamarekani waandamana Washington wakipinga Marekani kudhamini vita ya Ukraine, wampongeza Putin kuwa ni mzalendo

Mbona Warusi waliandamana kupinga uvamizi wa nchi yao kwa majirani zao Ukraine wakisema ni ndugu zao...
 
Eti na unaunga mkono Urusi kuivamia Ukraine! Hivi kiakili uko sawa wewe? .
Nakushauri uhamia huko na uende field ukapigane.Hopeless kabisa wewe. Basi kama ni hivyo Waingereza nao wayatwae upya makoloni yao ya zamani ikiwemo Tanganyika,the present day Tanzania.!
 
Miaka hii ukiona mtu anatetea marekani ni aidha shoga, feminists au fisadi. Watu wanaojitambua wameshaelewa marekani takataka.
Ukiona mtu anaitetea Urusi eitha ni Gaidi, muislamu mwenyewe msimamo mkali wa kidini au dictator.
 
Ni kweli Mkuu, Marekani ndio wapo vizuri kwenye freedom of speech kama ulivyokaririshwa. Na ndio maana Snowden anaishi Marekani hadi sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…