Wamarekani Wamemtemea Nyongo Rais Biden

Russia ipige nuclear moja tu kwa mashoga wa ukrain na kazi iwe imeisha
Kuna kitu kinaitwa M.A.D (Mutually Assured Destruction), kuna mechanism zimewekwa inplace, kwamba the moment umebonyeza kitufe cha kurusha bomu kwa mtu yeyote yule anayechangamana na US au hata kwa US mwenyewe, basi papo hapo kabla hata bomu halijatoa sura yake nje toka kwenye mdomo wa Canoni, na wewe unapigwa na bomu la nuclear papo hapo, yani ukipiga bomu jua na wewe umeshapigwa, na ndio utakuwa mwisho wa dunia.., hatuwezi kusurvive a nuclear war

 
Vipi kuhusu Georgia ?
 
Ulimsikiliza au kusoma sababu alizosema Putin mwenyewe wakati anatangaza huo uvamizi?
Ulisikia akiongelea issue zozote za NATO??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…