Wamarekani wana mambo kweli. Gaza Vs Xinjiang

Wamarekani wana mambo kweli. Gaza Vs Xinjiang

Atatoa povu kweli apo umemshika pabaya miafrica minafiki mno hata sudan mbali apo goma waasi wanaua watu yeye wala haumizwi anaumizwa na migaidi ya kiislam ya gaza iliyoenda kuua raia bila sababu yoyote
Wewe una matatizo yako that's way umekuja na agenda zako za ugaidi humu wala hakuna mahali mimi nimezungumzia habari za ugaidi zaidi ya kupost picha tu
 
Usipanic acha unafiki lini umeongelea mauaji ya weusi wenzako sudan leo unaumizwa na waarabu waliojitakia vita. Maifrica tuna laana
Nani aliye panick wewe una matatizo yako sio bure kama tu picha tu inakutesa hivi
 
Wamarekani wana mambo kweli.

There is genocide in Xinjiang Vs There is no genocide in GazaView attachment 2988700View attachment 2988702
majengo na, genocide wap na wap ? Tofautisha Vita na Genocide , Vita mnauana ila Genocide unaua watu wasio na silaha , Hamas ni wawakilishi wa Gaza na Idf ni wawakilishi wa Israel , kwenye vita vifo kwa raia ni kawaida , msichanganye mafaili
 
Wamarekani wana mambo kweli.

There is genocide in Xinjiang Vs There is no genocide in GazaView attachment 2988700View attachment 2988702
Vita hiyo waliingiza ushabiki wa dini na siasa, pia tatizo lilianzia October 7 baada ya watu wengi kupongeza mauaji ya jamaa ya kushambulia wananchi, wale wananchi walikuwa na makosa gani? Kama hamas wangekamata wanajeshi wa IDF au wanasiasa wa Israel, lakini wadada na watoto na mabibi! Israel hana cha kupoteza anajua anavyochukiwa na maadui zake hasa nchi za kiarabu, aneshatishiwa kufutwa kwenye ramani ya dunia, anaona akiwachekea hamas yatakuja mengine zaidi ya hayo. USA hana uwezo wa kuzuia Israel ili isishambulie Gaza, kitakachoweza kuzuia na kumaliza vita ni hamas kuachia mateka na kukaa meza moja na viongozi wa Israel ili waangalie namna ya kuishi kwa amani na kwa kuheshimiana. Ujanja wa hamas na shinikizo toka nje haviwezi kumaliza tatizo, madai ya hamas na nchi za kiarabu kuitambua Palestinians na kutojitambua Israel haviwezi kuleta amani hata siku moja, na haiwezi kuirudisha Israel nyuma.
 
Amananisha acha unafiki unaumizweje na ya mwarabu wakati ya mweusi mwenzako hayakuumizi haupangiwi unambiwa acha unafiki kama unavyowasema wamarekani wanafiki kumbe we ndo nafiki
wewe hata siku moja hujawahi kuongelea kuhusu huyo mwarabu mweusi ama mkatoliki mweusi wa kongo... Zaidi ya kuwa shabiki kindakindaki wa US na Israel
1000099144.jpg
1000099143.jpg
 
Na wewe weka picha basi tuone hiyo genocide ya Sudani.
Wamarekan wanatofauti gan na wewe sasa. Unakubali Gaza kuna genocide Lakin kuna waarabu wako hapo Sudan wanawaangamiza waislam weusi hapo Sudan kule Darfur ila umekaa kimya.
 
mpende mwafrika mwenzio bila kujal asili yako , ukiwa mwafrika either mwenye asili ya kiarabu au kiislam bas inabid utambue hauna thaman kwao , amka na ujipende wewe mwafrika

Kemea mauaji yanayoendelea afrika kisha ndp uje uwafikirie hao watu wa Gaza
 
mpende mwafrika mwenzio bila kujal asili yako , ukiwa mwafrika either mwenye asili ya kiarabu au kiislam bas inabid utambue hauna thaman kwao , amka na ujipende wewe mwafrika

Kemea mauaji yanayoendelea afrika kisha ndp uje uwafikirie hao watu wa
 
Kama unaweza kuuona unafiki wa wamarekan na kusahau unafiki wako wa kukaa kimya wakati black sudanese wanaaangamizwa hapo darfur basi we ni mwamba.
Mantiki gani iliyopo kwenye swali lako na nilicho post mimi hapa ? Maana sikuelewi
Reka
 
Kama unaweza kuuona unafiki wa wamarekan na kusahau unafiki wako wa kukaa kimya wakati black sudanese wanaaangamizwa hapo darfur basi we ni mwamba.

Reka
Sasa ishu ya Sudan na kilicho postiwa vina uhusiano gani ? Ujue sikuelewi

Haya tufanye hivi umeelewa nini kupitia hizo picha zilizo postiwa ?
 
Sasa ishu ya Sudan na kilicho postiwa vina uhusiano gani ? Ujue sikuelewi

Haya tufanye hivi umeelewa nini kupitia hizo picha zilizo postiwa ?
Umesema unafiki wa marekani kuhusu kinachoendeea Gaza na uighur ukiwa na maana kelele za marekani kwa kile anachofanya china kwa waighur na sapoti marekani anayoitoa kwa Israel kwa Gaza. Ukaleta na picha za hiyo miji miwili kulinganisha maendeleo na vifusi. So swali langu likaja kwako. Kuwa mbona umeweza kuona huko mbali kiasi hicho na ukaja na hiyo tafsir ukasahau wewe mwenyewe hujawah kutuambia uchafu waarabu wanachowafanyia waafrika hapo darfur
 
Umesema unafiki wa marekani kuhusu kinachoendeea Gaza na uighur ukiwa na maana kelele za marekani kwa kile anachofanya china kwa waighur na sapoti marekani anayoitoa kwa Israel kwa Gaza. Ukaleta na picha za hiyo miji miwili kulinganisha maendeleo na vifusi. So swali langu likaja kwako. Kuwa mbona umeweza kuona huko mbali kiasi hicho na ukaja na hiyo tafsir ukasahau wewe mwenyewe hujawah kutuambia uchafu waarabu wanachowafanyia waafrika hapo darfur
Twende taratibu.

Mimi nilicho post hapa kinanilazimisha vipi kuzungumzia mgogoro wa Sudan ? Na kwani nini unilazimishe nizungumzie mgogoro wa Sudan na sio migogoro mingine duniani
 
Genocide wajinga wengi hawaelewi maana yake wanalibeba hilo neno kama karanga
 
Twende taratibu.

Mimi nilicho post hapa kinanilazimisha vipi kuzungumzia mgogoro wa Sudan ? Na kwani nini unilazimishe nizungumzie mgogoro wa Sudan na sio migogoro mingine duniani
Ndio unafiki wenyewe wa miafrica. Kwamba huoni hayo maangamiz yanayotokea hapo Sudan ila unaweza kuona unafiki wa wamarekan kwa Gaza. Kisa ni waarabu.
 
Back
Top Bottom