Wamarekani wana mambo kweli. Gaza Vs Xinjiang

Wamarekani wana mambo kweli. Gaza Vs Xinjiang

Wewe sio muafrika ? Au una ajenda yako binafsi ndani ya moyo wako ?!.
Mi mwafrica ninaekushangaa unapoumizwa na maumivu ya washenz waliotutawala na unasahau wenzetu wanaoendelea kuumia. Cjui tumelogwa na nani.
 
Mi mwafrica ninaekushangaa unapoumizwa na maumivu ya washenz waliotutawala na unasahau wenzetu wanaoendelea kuumia. Cjui tumelogwa na nani.
Wapi nimesema nimeumizwa ?

Halafu hao kwenye picha walikutawala lini wewe ?
 
Wapi nimesema nimeumizwa ?

Halafu hao kwenye picha walikutawala lini wewe ?
Acha mahaba ya dini

Nyie mnafanya dini yetu ya kiislam ionekane ni ya kigaidi

Wabantu wa sudan wanachinjwa km kuku na waarabu mpo kimya

Leo hii mnayaonea huruma magaidi ya kiarabu kutoka hamas
 
Acha mahaba ya dini

Nyie mnafanya dini yetu ya kiislam ionekane ni ya kigaidi

Wabantu wa sudan wanachinjwa km kuku na waarabu mpo kimya

Leo hii mnayaonea huruma magaidi ya kiarabu kutoka hamas
Sasa mambo ya dini yana ingiaje hapa kwenye post yangu ?
 
Kwamba mwarabu hajawah kututawala sio. Au Mzungu. Pumbafu kabisa. Waache wauawane ni zamu yao kuumia we leta mada za namna ya kupambana tutoke sio marekan sijui mchina au.warabu then nini inakusaidia sasa.
Wapi nimesema nimeumizwa ?

Halafu hao kwenye picha walikutawala lini wewe ?
 
Kwamba mwarabu hajawah kututawala sio. Au Mzungu. Pumbafu kabisa. Waache wauawane ni zamu yao kuumia we leta mada za namna ya kupambana tutoke sio marekan sijui mchina au.warabu then nini inakusaidia sasa.
Kwa hiyo wa Uyghur ni waarabu toka lini na walikutawala wewe lini hiyo ? Na wakiuana wewe binafsi unapata faida gani ?

Hii ni international forum kwani nini unanipangia nyuzi za kuleta humu na watu wa kuwazungumzia humu ?

Wewe hizo nyuzi za kupambana tutoke umezuiwa kuzileta humu ?
 
Kwa hiyo wa Uyghur ni waarabu toka lini na walikutawala wewe lini hiyo ? Na wakiuana wewe binafsi unapata faida gani ?

Hii ni international forum kwani nini unanipangia nyuzi za kuleta humu na watu wa kuwazungumzia humu ?

Wewe hizo nyuzi za kupambana tutoke umezuiwa kuzileta humu ?
Akili za kiafrica hiz. So unvyoumia kutuelezea waarabu wa gaza wanavyotwseka na unafiki wa marekani kwenye mezania umeshau wewe pia ni mnfiki kwa kwenda umbali wote huo ukasahau hata hao wamasai wanaohamishwa kwa nguvu katika nchi hapo loliondo. Ckupangii cha kuandika ila nataka kukuonyesh jinsi tulivyo mbulula.
 
Akili za kiafrica hiz. So unvyoumia kutuelezea waarabu wa gaza wanavyotwseka na unafiki wa marekani kwenye mezania umeshau wewe pia ni mnfiki kwa kwenda umbali wote huo ukasahau hata hao wamasai wanaohamishwa kwa nguvu katika nchi hapo loliondo. Ckupangii cha kuandika ila nataka kukuonyesh jinsi tulivyo mbulula.
Wapi nimesema naumizwa ? Na kwa nini jukwaa la International unipangie kipi cha kuzungumzia ?

Ulianza waarabu wa Sudan sasa umeamia wamaasai wa Tanzania next stop ni nini ?

Twende taratibu tupo kupeana elimu hapa usipandwe na mihemko.
 
Wapi nimesema naumizwa ? Na kwa nini jukwaa la International unipangie kipi cha kuzungumzia ?

Ulianza waarabu wa Sudan sasa umeamia wamaasai wa Tanzania next stop ni nini ?

Twende taratibu tupo kupeana elimu hapa usipandwe na mihemko.
Mihemko ya nini sasa. Mi nakueleza jins Africans wanavyopoteza muda kuzungumzia ishu za watu. Mara Gaza cjui marekani lakini hata suala dogo kama la watu weusi wanaouawawa na waarabu hapo Sudan hawalion. Muda mwingi kuutumia kuzungumzia weupe wanaouawawa. Bro nimekutolea mfano hata hao wamasai waliotolewa hapo kwao loliondo uliwah kuguswa ukaanzisha uzi au kwasababu ni weusi. Sometimes somehow kuna shida iko mahali kwa NgoZi nyeusi.
 
Mihemko ya nini sasa. Mi nakueleza jins Africans wanavyopoteza muda kuzungumzia ishu za watu. Mara Gaza cjui marekani lakini hata suala dogo kama la watu weusi wanaouawawa na waarabu hapo Sudan hawalion. Muda mwingi kuutumia kuzungumzia weupe wanaouawawa. Bro nimekutolea mfano hata hao wamasai waliotolewa hapo kwao loliondo uliwah kuguswa ukaanzisha uzi au kwasababu ni weusi. Sometimes somehow kuna shida iko mahali kwa NgoZi nyeusi.
Hili jukwaa la International unataka habari za masaai wa Tanzania ziletwe humu ?

Kwa nini uzi wangu unakufanya utoe hukumu kwa waafrika wewe sio muafrika ?

Wewe kufungulia uzi hayo masuala umezuiwa ?

Sasa mambo ya watu weusi yanahusikaje humu wewe ni mweupe ?
 
Hili jukwaa la International unataka habari za masaai wa Tanzania ziletwe humu ?

Kwa nini uzi wangu unakufanya utoe hukumu kwa waafrika wewe sio muafrika ?

Wewe kufungulia hayo masuala umezuiwa ?

Sasa mambo ya watu weusi yanahusikaje humu wewe ni mweupe ?
Kwani hili si jukwaa la kimataifa!?
Asa huyo analalamika nini!?
😂😂😂🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️Mkuu msamehe nahisi hawa ndio wale wanaoambiwa katika mtihani waoanishe kwa herufi wao wanaoanisha kwa mstari.
 
Wewe kwanini hujawah kuanzisha Uzi hapa kuwalalamikia waarabu wa Sudan wanavyowaangamiza weusi wa darfur
Embu acha uongo.
Sudan Darfur wanapigana vita za kugombania madaraka sio vita za ukabila ama rangi.
Jeshi kuu la Sudan linapigana na jeshi la RSF.
Sasa hizo habari za weupe kuwaua weusi unazitoa wapi!?
Akati viongozi wenyewe wa Sudan wote weusi!?
 
majengo na, genocide wap na wap ? Tofautisha Vita na Genocide , Vita mnauana ila Genocide unaua watu wasio na silaha , Hamas ni wawakilishi wa Gaza na Idf ni wawakilishi wa Israel , kwenye vita vifo kwa raia ni kawaida , msichanganye mafaili
Kwahiyo kulipua watu kimakusudi katika shule za UN nako ni kawaida kwasababu ni vita!?
Kufyatua wanawake kanisani kimakusudi tena kanisani kwa kutumia Rifle nako ni kawaida ya vita!?
Unaonekana hujui maana ya genocide.
Katika vita war crimes zinaweza kutendeka,na moja wapo ya war crimes ni genocide in war.
 
Vita hiyo waliingiza ushabiki wa dini na siasa, pia tatizo lilianzia October 7 baada ya watu wengi kupongeza mauaji ya jamaa ya kushambulia wananchi, wale wananchi walikuwa na makosa gani? Kama hamas wangekamata wanajeshi wa IDF au wanasiasa wa Israel, lakini wadada na watoto na mabibi! Israel hana cha kupoteza anajua anavyochukiwa na maadui zake hasa nchi za kiarabu, aneshatishiwa kufutwa kwenye ramani ya dunia, anaona akiwachekea hamas yatakuja mengine zaidi ya hayo. USA hana uwezo wa kuzuia Israel ili isishambulie Gaza, kitakachoweza kuzuia na kumaliza vita ni hamas kuachia mateka na kukaa meza moja na viongozi wa Israel ili waangalie namna ya kuishi kwa amani na kwa kuheshimiana. Ujanja wa hamas na shinikizo toka nje haviwezi kumaliza tatizo, madai ya hamas na nchi za kiarabu kuitambua Palestinians na kutojitambua Israel haviwezi kuleta amani hata siku moja, na haiwezi kuirudisha Israel nyuma.
Vita ilianza toka August kwa IDF na wayahudi kuchoma mashamba ya bedui Jenin.
Pia oktoba 7 Hamas raia alioua ni kutokana na unguided rockets alizorusha ila sana sana alilenga wanajeshi ambao vifo vyao vingi vikafichwa na kugeuzwa vifo vya kiraia.
Ulitegemea Palestina wakae tu wakivunjiwa nyumba na kuharibiwa mashamba yao na walowezi wa kiyahudi!?
SHAME ON YOU.
 
Ndio unafiki wenyewe wa miafrica. Kwamba huoni hayo maangamiz yanayotokea hapo Sudan ila unaweza kuona unafiki wa wamarekan kwa Gaza. Kisa ni waarabu.
Sudan wana ugomvi wa kisiasa.
Pia Sudan ni wanubi ambao wame adopt lugha ya kiarabu ila sio waarabu.
Hizi akili mnatoaga wapi ninyi aisee!?
 
Acha mahaba ya dini

Nyie mnafanya dini yetu ya kiislam ionekane ni ya kigaidi

Wabantu wa sudan wanachinjwa km kuku na waarabu mpo kimya

Leo hii mnayaonea huruma magaidi ya kiarabu kutoka hamas
Nawe ona ulivyo zwazwa.
Wapi hapo kumetajwa udini!?
Wabantu wapo Sudan kusini.
Sudan kaskazini kuna mgogoro wa kisiasa sio wa kikabila we MPUMBAVU.
Na Sudan kaskazini WaAfrica sio waarabu,toka lini wanubi wakawa waarabu!?
Wapi umeona kuna mapigano ya kikabila Sudan kaskazini!?
Muwe mnafuatilia habari sio kuropoka kama mmekunywa maji ya karo.
 
Sudan wana ugomvi wa kisiasa.
Pia Sudan ni wanubi ambao wame adopt lugha ya kiarabu ila sio waarabu.
Hizi akili mnatoaga wapi ninyi aisee!?
Utawadanganya wajinga wenzio wasiojua Sudan.
 
Utawadanganya wajinga wenzio wasiojua Sudan.
Ona hili jamaa!
Screenshot_2024-05-15-16-38-21-81_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-15-16-38-41-10_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-15-16-38-52-86_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Back
Top Bottom