Wamarekani wana mambo kweli. Gaza Vs Xinjiang

Wamarekani wana mambo kweli. Gaza Vs Xinjiang

Cjui

Cjui hata umejibu. Hawa rapids force's umesahau ndio waarabu waliokuwa wanawaitwa janjaweed wakiwasaidia jeshi la Sudan kuwaangamiza weusi pale Darfur au unajifanya kujitoa ufahamu. Mi naongelea mauaji ya halaiki pale Darfur acha vita vinavyoendelea Sudan.
Mbona hueleweki!?
Unazungumzia machafuko ya 2003 yaliyoyagawanya Sudan kuwa mbili au machafuko ya sasa hivi!?
Jibu hapo kwanza,maana naona ushaanza kuhama hama.
Kama unazungumzia ya sasa hivi basi hayahusiani na ukabila bali yanahusiana na madaraka.
Kama unazungumzia ya 2003 mpaka yakaleta mgawanyo wa South Sudan and North Sudan basi yalishazungumzwa na kupita.
Embu jifunze kuwa specific kijana.
 
Mbona hueleweki!?
Unazungumzia machafuko ya 2003 yaliyoyagawanya Sudan kuwa mbili au machafuko ya sasa hivi!?
Jibu hapo kwanza,maana naona ushaanza kuhama hama.
Kama unazungumzia ya sasa hivi basi hayahusiani na ukabila bali yanahusiana na madaraka.
Kama unazungumzia ya 2003 mpaka yakaleta mgawanyo wa South Sudan and North Sudan basi yalishazungumzwa na kupita.
Embu jifunze kuwa specific kijana.
Hiv ninavyoongea sasa hiv pale Darfur hawa rapid forces wamechukua advantage ya vita vinavyoendelea na kuanza kuwafukuza waafrika weusi pale Darfur na hao raia wamekimbilia Chad. Usisahau ni Black Sudanese sio waarabu walioko makambin Chad. Jamaa wamechukua advantage kama wale masetler wa kiyahud wanavyochukua advantage ya kuwafukuza wapalestina kule West bank na kuchukua nyumba zao. So kama hujui bora ukae kimya.
 
Hiv ninavyoongea sasa hiv pale Darfur hawa rapid forces wamechukua advantage ya vita vinavyoendelea na kuanza kuwafukuza waafrika weusi pale Darfur na hao raia wamekimbilia Chad. Usisahau ni Black Sudanese sio waarabu walioko makambin Chad. Jamaa wamechukua advantage kama wale masetler wa kiyahud wanavyochukua advantage ya kuwafukuza wapalestina kule West bank na kuchukua nyumba zao. So kama hujui bora ukae kimya.
Mbona unaropoka kijana!?
Huu uongo unautoa wapi!?
Viongozi wenyewe wa RSF na RAF ni weusi,wawafukuze watu weusi gani!?
Alot of people are displaced hata hao wenye asili ya kiarabu.
Tanzania ilipokea wanafunzi ambao wengi wao wana mpango hata wa kuendelea kielimu na kimaisha hapa Tanzania,asilimia kubwa asili ya kiarabu.
Waliokimbia hakukuangaliwa rangi bali raia wote wamekimbia mzee.
Hizi conspiracy unazozileta hapa hazina mashiko.
Wapo mpaka wenye asili ya ushombe wamekimbia nchi.
Kila leo nafuatilia habari ukitaka hata picha nakuwekea hapa.
Wacheni conspiracy hazisaidii kitu vichwani mwenu.
 
Mbona unaropoka kijana!?
Huu uongo unautoa wapi!?
Viongozi wenyewe wa RSF na RAF ni weusi,wawafukuze watu weusi gani!?
Alot of people are displaced hata hao wenye asili ya kiarabu.
Tanzania ilipokea wanafunzi ambao wengi wao wana mpango hata wa kuendelea kielimu na kimaisha hapa Tanzania,asilimia kubwa asili ya kiarabu.
Waliokimbia hakukuangaliwa rangi bali raia wote wamekimbia mzee.
Hizi conspiracy unazozileta hapa hazina mashiko.
Wapo mpaka wenye asili ya ushombe wamekimbia nchi.
Kila leo nafuatilia habari ukitaka hata picha nakuwekea hapa.
Wacheni conspiracy hazisaidii kitu vichwani mwenu.
Nafikir tuyaachie hapa maana naona umeamua kuchagua kutokueleweshwa. Sudan kabla ya hii vita ya sasa unajua kulikuwa na vita upande wa Darfur Lakin? Na unajua hili jeshi la dagalo liliundwa mahususi kwaajili ya kupambana na waasi wa Darfur? Sasa kwa taarifa yako kabla ya waarabu kuanza kupigana wenyewe kwa wenyewe ambayo ndio imezalisha hawa wakimbiz unaowaona hapo nyumban kulikuwa na vita Darfur. Sasa jeshi la Dagalo ambalo ni la kiarabu ndio wanaowaua weusi pale Darfur mbona hata umoja wa mataifa wameshatoa taarifa Mzee. Unaweza kugoogle ili upate taarifa Zaid.
 
Nafikir tuyaachie hapa maana naona umeamua kuchagua kutokueleweshwa. Sudan kabla ya hii vita ya sasa unajua kulikuwa na vita upande wa Darfur Lakin? Na unajua hili jeshi la dagalo liliundwa mahususi kwaajili ya kupambana na waasi wa Darfur? Sasa kwa taarifa yako kabla ya waarabu kuanza kupigana wenyewe kwa wenyewe ambayo ndio imezalisha hawa wakimbiz unaowaona hapo nyumban kulikuwa na vita Darfur. Sasa jeshi la Dagalo ambalo ni la kiarabu ndio wanaowaua weusi pale Darfur mbona hata umoja wa mataifa wameshatoa taarifa Mzee. Unaweza kugoogle ili upate taarifa Zaid.
Ninaongea na wewe kwa mara ya mwisho bro sitaeleza tena.
Mapigano ya ukabila yalikua 2003 na ripoti hiyo hiyo ya UNHCR ndio inayosema,Janjaweed walikua wakiua raia wasio waislam na wale wasudan weusi wasio na ushombe.
Ndipo 2011 Sudan kusini ikazaliwa.
RSF ni support force iliyoundwa kwaajili ya kupambana na makundi hasimu ya serikali ikiwemo Janjaweed,maana wapo waliojitoa janjaweed na wapo waliobaki janjaweed na kutaka waiendeleze janjaweed,pia kuna makundi mengine mawili yalizalikana baada ya mgawanyo wa Sudan.
RSF iliundwa kupambana nao,mpishano wa maslahi 2023 umezalisha mapigano kati ya RSF na RAF.
Ndio maana nikakusisitiza ni vurugu za madaraka sio rangi wala kabila.
Usiwe tu unajiokotea habari hovyo mzee.

Mie nimemaliza mjadala.
 
Ninaongea na wewe kwa mara ya mwisho bro sitaeleza tena.
Mapigano ya ukabila yalikua 2003 na ripoti hiyo hiyo ya UNHCR ndio inayosema,Janjaweed walikua wakiua raia wasio waislam na wale wasudan weusi wasio na ushombe.
Ndipo 2011 Sudan kusini ikazaliwa.
RSF ni support force iliyoundwa kwaajili ya kupambana na makundi hasimu ya serikali ikiwemo Janjaweed,maana wapo waliojitoa janjaweed na wapo waliobaki janjaweed na kutaka waiendeleze janjaweed,pia kuna makundi mengine mawili yalizalikana baada ya mgawanyo wa Sudan.
RSF iliundwa kupambana nao,mpishano wa maslahi 2023 umezalisha mapigano kati ya RSF na RAF.
Ndio maana nikakusisitiza ni vurugu za madaraka sio rangi wala kabila.
Usiwe tu unajiokotea habari hovyo mzee.

Mie nimemaliza mjadala.
Hujamaliza mjadala unakimbilia wapi. Hujajiuliza hawa rapid forces kwanini ni waarabu tu dhidi ya weusi wakati huo kabla hawajaigeukia serikali yenyewe.
 
Hujamaliza mjadala unakimbilia wapi. Hujajiuliza hawa rapid forces kwanini ni waarabu tu dhidi ya weusi wakati huo kabla hawajaigeukia serikali yenyewe.
Unaongea kitu hakipo.
Maana Rapid Force ilipigana na makundi mawili hasimu pamoja na Janjaweed ambayo ilibaki baada ya kugawanyika.
Sasa unavyosema weupe dhidi ya weusi ilhali kamanda wa RAF ni mweusi unanichekesha mkuu.
RAF ilitoa wito RSF ifutwe maana haina haja ya kuwepo tena.
Hapo ndipo utata ukazuka na vita kuanza.
Kuanzia Darfur mpaka Khartoum wanaokimbia ni raia weupe kwa weusi.
Hayo mauaji ya kuua weusi umeyapata wapi bro!?

Tufanye uko sahihi mjadala uishie hapa mkuu.
Ila hii ni mada ya Gaza v xinjiang,kama kutahitajika ya Sudan anzisha uzi wachangiaji wapo.
Maana hili ni jukwaa la KIMATAIFA.
 
Back
Top Bottom