Wamarekani wanamuhitaji Donald Trump sasa kuliko walivyomuhitaji mwaka 2016

Wamarekani wanamuhitaji Donald Trump sasa kuliko walivyomuhitaji mwaka 2016

Alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani mwaka 2016, na kuingia Ikulu 20/01/2017 baada ya kula kiapo.

Katika kipindi cha uongozi wake, alifanya mengi, yakiwemo yaliyowafurahisha na yaliyowakwaza Wamarekani.

Ingawa alionesha chuki kwa baadhi ya Mataifa, hasa ya Kiafrika, lakini alilifaa sana Taifa lake la Marekani.

Mwaka huu Wamarekani watapiga kura ya kumchagua Rais.

Bila shaka, wengi wanajua kuwa wanamuhitaji sana Trump kuliko wakati mwingine wowote.

Uthubutu wake utawezesha vita vya Urusi na Ukraine kufikia ukomo. Anaweza kusaidia kuleta amani Mashariki ya Kati, japo itakuwa ni kwa muda tu.

Atamdhibiti Rais wa Korea Kaskazini asiwe tishio kwa Marekani na maslahi ya Marekani.

Japo si nabii, lakini naamini Trump atashinda Kiti cha Urais wa Marekani mwaka huu

Hata Wamarekani waliomo humu JF, japo ni wachache, lakini wanalijua hilo.

Hawatafanya kosa. Wameamua kwenda na bilionea Donald Trump.
Trump na Magufuli walifaa sana
 
Wamarekani wanaogopa ujamaa kama ukoma. Wakisikia Sanders wanajua anakuja kuleta mambo ya kijamaa.

Sanders hashindi hata kwa kutumia uchawi

Trump anarudi White House labda wamfunge kwenye makesi yake anayopambana nayo
Ujamaa hauwezi kuwepo marekani hata wafanye nini labda kama unataka kufanya mauaji ya halaiki.

Ujamaa sio mfumo unapachika pachika tu ndio yale yale ya Nyerere.

Ni rahisi kuweka mfumo wa kibepari kuliko kuweka ujamaa marekani hili la ujamaa haliwezi tokea itabaki ndoto tu.

Ujamaa bila misingi ya ujamaa ni kuchota maji kwenye Tenga.
 
Ujamaa hauwezi kuwepo marekani hata wafanye nini labda kama unataka kufanya mauaji ya halaiki.

Ujamaa sio mfumo unapachika pachika tu ndio yale yale ya Nyerere.

Ni rahisi kuweka mfumo wa kibepari kuliko kuweka ujamaa marekani hili la ujamaa haliwezi tokea itabaki ndoto tu.

Ujamaa bila misingi ya ujamaa ni kuchota maji kwenye Tenga.
Ujamaa Marekani unachukuliwa kama uovu fulani hivi. Hata Rais awe dikteta kiasi gani, hawezi kufanikiwa kuupachika udikteta kwenye hilo Taifa.

Marekani si Burundi! Kule hata Rais anaweza kuambiwa *hapana" na mtumishi wa Serikali.

Kule Jeshi "hawamlindi" Rais bali Katiba.
 
Alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani mwaka 2016, na kuingia Ikulu 20/01/2017 baada ya kula kiapo.

Katika kipindi cha uongozi wake, alifanya mengi, yakiwemo yaliyowafurahisha na yaliyowakwaza Wamarekani.

Ingawa alionesha chuki kwa baadhi ya Mataifa, hasa ya Kiafrika, lakini alilifaa sana Taifa lake la Marekani.

Mwaka huu Wamarekani watapiga kura ya kumchagua Rais.

Bila shaka, wengi wanajua kuwa wanamuhitaji sana Trump kuliko wakati mwingine wowote.

Uthubutu wake utawezesha vita vya Urusi na Ukraine kufikia ukomo. Anaweza kusaidia kuleta amani Mashariki ya Kati, japo itakuwa ni kwa muda tu.

Atamdhibiti Rais wa Korea Kaskazini asiwe tishio kwa Marekani na maslahi ya Marekani.

Japo si nabii, lakini naamini Trump atashinda Kiti cha Urais wa Marekani mwaka huu

Hata Wamarekani waliomo humu JF, japo ni wachache, lakini wanalijua hilo.

Hawatafanya kosa. Wameamua kwenda na bilionea Donald Trump.
Wanamuhitaji kwa lipi hasa ambalo hakufanya awamu ya kwanza? Hana jipya.
 
Trump all the way. Wakati wa Trump Dunia ilitulia. Halafu Kama sio corona Biden asingemtoa Trump madarakani
 
Trump kushinda uchaguzi na kuwa Rais? Hapan’ shaka kabisa, inawezekana. Ile ni nchi ya kidemokrasia. Ilmuradi asisahau kuwa Marekani si Bongo na yeye hatakuwa Mwenyekiti wa CCM kule.
 
Sidhani kama yupo atakayempiku Trump.

Marekani kwa sasa inamuhitaji mtu "mkali"
hao si watanzania wanaohitaji mtu mkali ili wasonge mbele. Walishavuka hiyo stage miaka mingi, wanachohitaji ni mwenye udhubutu, tofauti na sisi wao wana dira na sera za nchi , trump alikuwa hazifuati sana
 
You are very wrong!

The time will tell!!!
Alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani mwaka 2016, na kuingia Ikulu 20/01/2017 baada ya kula kiapo.

Katika kipindi cha uongozi wake, alifanya mengi, yakiwemo yaliyowafurahisha na yaliyowakwaza Wamarekani.

Ingawa alionesha chuki kwa baadhi ya Mataifa, hasa ya Kiafrika, lakini alilifaa sana Taifa lake la Marekani.

Mwaka huu Wamarekani watapiga kura ya kumchagua Rais.

Bila shaka, wengi wanajua kuwa wanamuhitaji sana Trump kuliko wakati mwingine wowote.

Uthubutu wake utawezesha vita vya Urusi na Ukraine kufikia ukomo. Anaweza kusaidia kuleta amani Mashariki ya Kati, japo itakuwa ni kwa muda tu.

Atamdhibiti Rais wa Korea Kaskazini asiwe tishio kwa Marekani na maslahi ya Marekani.

Japo si nabii, lakini naamini Trump atashinda Kiti cha Urais wa Marekani mwaka huu

Hata Wamarekani waliomo humu JF, japo ni wachache, lakini wanalijua hilo.

Hawatafanya kosa. Wameamua kwenda na bilionea Donald Trump.
Wamarekani wenyewe wanasemaje? kuhusu hilo?
 
Back
Top Bottom