Wamarekani weupe wameamua kutumia utaalamu wa kisayansi kumaliza weusi

Wamarekani weupe wameamua kutumia utaalamu wa kisayansi kumaliza weusi

Mkuu tuna changamoto nyingi sana lakini changamoto kubwa ni mtindo wetu wa kufikiri uivyo,sijui tuna matatizo gani kwakweli....

Wakati mwingine unaweza hata kutamani upate uwezo wa ki-Mungu ufute upuuzi waliolishwa hawa vijana wa kileo ambao wengi ni kama bado hawajajielewa kabisa.....

Tuna safari ndefu sana mkuu...

Mkuu mimi huwa natamani....kungekuwa na na windows za kuinstall kwenye vichwa vyao...
 
Umeshawahi jiuliza kwa nini siku hizi kuzaa ni mtihani na operation wakati zamani kina mama walijifungulia nyumbani?
 
Back
Top Bottom