HIV haikutengenezwa maabara kwasababu hakuna HIV,kuna hadithi inayohusu kirusi kisichokuwepo kilichopachikwa jina la HIV....
Kirusi specific aina ya HIV hakijawahi kugunduliwa duniani achilia mbali kuonekana kwenye mwili wa binadamu....
Kwa kukusadia ni kwamba walitengeneza hadithi inayomhusu kirusi anayefanya A,B,C kwenye mwili wa binadamu,hizo A,B,C zilikuwepo tu kwenye maisha ya watu wenye maradhi kama TB n.k halafu hizo A,B,C wakampachika huyo kirusi asiyekuwepo....
Baada ya muda wakaja na hadithi nyingine kuwa kirusi huyo anabadilika badilika na wakatengeneza dawa zinazomsababishia mwanadamu A,B,C,D,E,F,G na kumdanganya huyo mwanadamu kuwa hizo dawa zinapunguza matatizo A,B,C yaliyodaiwa hapo mwanzo kuwa yanaletwa na huyo kirusi hivyo watu wakaanza kufakamia hizo dawa na walipokuja kupata madhara A,B,C,D,E,F,G wakaambiwa ni matokeo ya HIV kumbe ni matokeo ya madhara ya hayo madawa...
Muulize MD yoyote dalili za HIV ni nini kama hajakuambia daliliza TB n.k dalili ambazo sio mpya kabisa lakini zikapachikwa jina la dalili za HIV....
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDena[/HASHTAG]