Wamarekani weupe wameamua kutumia utaalamu wa kisayansi kumaliza weusi

Wamarekani weupe wameamua kutumia utaalamu wa kisayansi kumaliza weusi

Nani Humu ndani aliwahi kusoma kitu kinaitwa The Presidential Apology??? Aliitoa Mzee Clinton January sikumbuki Mwaka kuhusu Mkakati wa kutengeneza Kaswende na kuwapandikiza Weusi na hata pale ambapo Dawa ilipatikana bado Weusi walinyimwa? Ni issue ya 1940s sio mbali. Ngoja niitafute niiweke hapa muone
 
Mbona na wao wanaugua ukimwi na kansa. Wapo wazungu wengi tu wana maradhi haya na wao wamejitengenezea wenyewe wapate kuugua na kwa faida zipi? ikiwa wametulete hivi virusi kwa makususi harafu vika washambulia na wao katika jamii zao na familia.?
 
Mbona na wao wanaugua ukimwi na kansa. Wapo wazungu wengi tu wana maradhi haya na wao wamejitengenezea wenyewe wapate kuugua na kwa faida zipi? ikiwa wametulete hivi virusi kwa makususi harafu vika washambulia na wao katika jamii zao na familia.?
Soma hii article ya Kaswende huenda ukapata insights ya anachokisema mleta mada


WHITE HOUSE
Office of the Press Secretary
For Immediate Release May 16, 1997
REMARKS BY THE PRESIDENT IN APOLOGY FOR STUDY DONE IN TUSKEGEE
The East Room 2:26 P.M. EDT

[https://www]THE PRESIDENT: Ladies and gentlemen, on Sunday, Mr. Shaw will celebrate his 95th birthday. (Applause.) I would like to recognize the other survivors who are here today and their families: Mr. Charlie Pollard is here. (Applause.) Mr. Carter Howard. (Applause.) Mr. Fred Simmons. (Applause.) Mr. Simmons just took his first airplane ride, and he reckons he's about 110 years old, so I think it's time for him to take a chance or two. (Laughter.) I'm glad he did. And Mr. Frederick Moss, thank you, sir. (Applause.)

I would also like to ask three family representatives who are here -- Sam Doner is represented by his daughter, Gwendolyn Cox. Thank you, Gwendolyn. (Applause.) Ernest Hendon, who is watching in Tuskegee, is represented by his brother, North Hendon. Thank you, sir, for being here. (Applause.) And George Key is represented by his grandson, Christopher Monroe. Thank you, Chris. (Applause.)

I also acknowledge the families, community leaders, teachers and students watching today by satellite from Tuskegee. The White House is the people's house; we are glad to have all of you here today. I thank Dr. David Satcher for his role in this. I thank Congresswoman Waters and Congressman Hilliard, Congressman Stokes, the entire Congressional Black Caucus. Dr. Satcher, members of the Cabinet who are here, Secretary Herman, Secretary Slater, members of the Cabinet who are here, Secretary Herman, Secretary Slater. A great friend of freedom, Fred Gray, thank you for fighting this long battle all these long years.

The eight men who are survivors of the syphilis study at Tuskegee are a living link to a time not so very long ago that many Americans would prefer not to remember, but we dare not forget. It was a time when our nation failed to live up to its ideals, when our nation broke the trust with our people that is the very foundation of our democracy. It is not only in remembering that shameful past that we can make amends and repair our nation, but it is in remembering that past that we can build a better present and a better future. And without remembering it, we cannot make amends and we cannot go forward.

So today America does remember the hundreds of men used in research without their knowledge and consent. We remember them and their family members. Men who were poor and African American, without resources and with few alternatives, they believed they had found hope when they were offered free medical care by the United States Public Health Service. They were betrayed.

Medical people are supposed to help when we need care, but even once a cure was discovered, they were denied help, and they were lied to by their government. Our government is supposed to protect the rights of its citizens; their rights were trampled upon. Forty years, hundreds of men betrayed, along with their wives and children, along with the community in Macon County, Alabama, the City of Tuskegee, the fine university there, and the larger African American community.

The United States government did something that was wrong -- deeply, profoundly, morally wrong. It was an outrage to our commitment to integrity and equality for all our citizens.

To the survivors, to the wives and family members, the children and the grandchildren, I say what you know: No power on Earth can give you back the lives lost, the pain suffered, the years of internal torment and anguish. What was done cannot be undone. But we can end the silence. We can stop turning our heads away. We can look at you in the eye and finally say on behalf of the American people, what the United States government did was shameful, and I am sorry. (Applause.)

The American people are sorry -- for the loss, for the years of hurt. You did nothing wrong, but you were grievously wronged. I apologize and I am sorry that this apology has been so long in coming. (Applause.)

To Macon County, to Tuskegee, to the doctors who have been wrongly associated with the events there, you have our apology, as well. To our African American citizens, I am sorry that your federal government orchestrated a study so clearly racist. That can never be allowed to happen again. It is against everything our country stands for and what we must stand against is what it was.

So let us resolve to hold forever in our hearts and minds the memory of a time not long ago in Macon County, Alabama, so that we can always see how adrift we can become when the rights of any citizens are neglected, ignored and betrayed. And let us resolve here and now to move forward together.

The legacy of the study at Tuskegee has reached far and deep, in ways that hurt our progress and divide our nation. We cannot be one America when a whole segment of our nation has no trust in America. An apology is the first step, and we take it with a commitment to rebuild that broken trust. We can begin by making sure there is never again another episode like this one. We need to do more to ensure that medical research practices are sound and ethical, and that researchers work more closely with communities.

Today I would like to announce several steps to help us achieve these goals. First, we will help to build that lasting memorial at Tuskegee. (Applause.) The school founded by Booker T. Washington, distinguished by the renowned scientist George Washington Carver and so many others who advanced the health and well-being of African Americans and all Americans, is a fitting site. The Department of Health and Human Services will award a planning grant so the school can pursue establishing a center for bioethics in research and health care. The center will serve as a museum of the study and support efforts to address its legacy and strengthen bioethics training.

Second, we commit to increase our community involvement so that we may begin restoring lost trust. The study at Tuskegee served to sow distrust of our medical institutions, especially where research is involved. Since the study was halted, abuses have been checked by making informed consent and local review mandatory in federally-funded and mandated research.

Still, 25 years later, many medical studies have little African American participation and African American organ donors are few. This impedes efforts to conduct promising research and to provide the best health care to all our people, including African Americans. So today, I'm directing the Secretary of Health and Human Services, Donna Shalala, to issue a report in 180 days about how we can best involve communities, especially minority communities, in research and health care. You must -- every American group must be involved in medical research in ways that are positive. We have put the curse behind us; now we must bring the benefits to all Americans. (Applause.)

Third, we commit to strengthen researchers' training in bioethics. We are constantly working on making breakthroughs in protecting the health of our people and in vanquishing diseases. But all our people must be assured that their rights and dignity will be respected as new drugs, treatments and therapies are tested and used. So I am directing Secretary Shalala to work in partnership with higher education to prepare training materials for medical researchers. They will be available in a year. They will help researchers build on core ethical principles of respect for individuals, justice and informed consent, and advise them on how to use these principles effectively in diverse populations.

Fourth, to increase and broaden our understanding of ethical issues and clinical research, we commit to providing postgraduate fellowships to train bioethicists especially among African Americans and other minority groups. HHS will offer these fellowships beginning in September of 1998 to promising students enrolled in bioethics graduate programs.

And, finally, by executive order I am also today extending the charter of the National Bioethics Advisory Commission to October of 1999. The need for this commission is clear. We must be able to call on the thoughtful, collective wisdom of experts and community representatives to find ways to further strengthen our protections for subjects in human research.

We face a challenge in our time. Science and technology are rapidly changing our lives with the promise of making us much healthier, much more productive and more prosperous. But with these changes we must work harder to see that as we advance we don't leave behind our conscience. No ground is gained and, indeed, much is lost if we lose our moral bearings in the name of progress.

The people who ran the study at Tuskegee diminished the stature of man by abandoning the most basic ethical precepts. They forgot their pledge to heal and repair. They had the power to heal the survivors and all the others and they did not. Today, all we can do is apologize. But you have the power, for only you -- Mr. Shaw, the others who are here, the family members who are with us in Tuskegee -- only you have the power to forgive. Your presence here shows us that you have chosen a better path than your government did so long ago. You have not withheld the power to forgive. I hope today and tomorrow every American will remember your lesson and live by it.

Thank you, and God bless you. (Applause.)
 
Wataweza kuua watu weusi ila hawataweza kuangamiza kizazi cha watu weusi. Walidhani ukimwi na Ebola vingetumaliza lakn wapi.
Hii kauli yako Siyo sahiii.. Afrika ina watu zaidi ya biliioni moja Sasa watatumaliza Vipi kwa kutuletea Magonjwa? Labda bomu la nyuklia na ni kitu ambacho hakiwezekani. Bahati nzuri kwetu ni kwamba kuna Wazungu wengi walio wema.utu na ubinadamu kuliko mafirauni.
 
Ni Kweli unalolisema lakini hili swala na uongozi mbovu na Fikra finyu Siyo swala la watu weusi bali ni swala la mataifa ya kibwege ambayo yako mengi tu... Kuanzia afrika. Asian latin na south America na kwingineko
Upo sahihi,ila tujiangalie tu sisi waafrica.Turudi hapa nyumbani Tanzania,angalia tu mambo yetu.Ndio maana sisi kuwa na maendeleo kama ya hao jamaa,ni kuhakikisha hizi tabia zetu za asili ziishe,uvivu wa kuwaza na kutenda.Kuanzia ngazi ya kijiji mpaka huko juu.Taratibu zetu ni za kukurupuka sana.Watu wanavuruga vuruga mambo mazuri hata tuliyoachiwa.
 
Hii ndio sababu nilitaka kusoma biotechnology.. But nilishindwa..

T
Ni kweli hili Mimi niliwahi pia kulifatilia linaukweli ndani yake.. Na huu mchezo haujaanza Leo wala Jana.. Ni kuanzia miaka ya 1950 ambapo ndio waliweza kutengeneza enzyme kupitia bacteria.. Ndio technology nzima ya biotechnology ilipoanza kukua kwa kasi.

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini HIV ilianza miaka ya 80 and not before that..

For sure this is the new inslavement technique.. Jiulize MTU aliegundua dawa ya dharura kuzuia virusi vya UKIMWI alikua umbali gani kugundua dawa ya ukimwi kabisa.

So inaonesha dhahiri kuwa kunakundi halitaki dawa ipatikane cause linafaida.. Hivyohivyo kwa kansa..

GMOs (genetic modified organisms) ni aina ya vyakula ambavyo kwa sasa wengi wanapenda kuvitumia.. Kama vile kuku wa kisasa.. Ng'ombe wa kisasa.. Mayai ya kisasa.. Hizi Mbegu za muda mfupi.. Kama mahindi.. Matikiti nk..

Uwezekano wa wao kutufanyia hicho kilichoelezewa hapo juu.. Yani kutufanya tuumwe ili tuwe Wateja wa kudumu kununua dawa zao ni rahisi sana kutendeka kwa hali hii..

Yani inatakiwa tufike wakati dawa tusitegemee kutoka huko.. Hasa chanjo.. Hapa ndipo tunapoona umuhimu wa kuwekeza kwenye elimu.. Cause hivihivi hatuwezi.. Sema ikumbukwe sio wazungu wote wanatabia hiyo.. But ndo madhara yenyewe ya Capitalism.. Monopolism
Well said!!
 
Upo sahihi,ila tujiangalie tu sisi waafrica.Turudi hapa nyumbani Tanzania,angalia tu mambo yetu.Ndio maana sisi kuwa na maendeleo kama ya hao jamaa,ni kuhakikisha hizi tabia zetu za asili ziishe,uvivu wa kuwaza na kutenda.Kuanzia ngazi ya kijiji mpaka huko juu.Taratibu zetu ni za kukurupuka sana.Watu wanavuruga vuruga mambo mazuri hata tuliyoachiwa.
Embu fikiria kwa mfano Leo Hii kuna sehemu kubwa ya jamii zetu inamini kwamba ukitaka kupata utajiri eti kamchune ngozi mtu au kamuue zeruzeru ili uwe tajiri! Mambo ya kibwege Haya!
 
Tutilie mkazo elimu ya dunia na siasa inayoleta tija ktk nchi... Leo Hii karne ya 21aslilmia 80 ya watanzania hawako kwenye national grid Ya umeme! Ndiyo maana ukutua na ndenge Usiku sehemu kubwa ya Tanzania Giza totoro
 
Embu fikiria kwa mfano Leo Hii kuna sehemu kubwa ya jamii zetu inamini kwamba ukitaka kupata utajiri eti kamchune ngozi mtu au kamuue zeruzeru ili uwe tajiri! Mambo ya kibwege Haya!


Ni aina ya wapuuzi tulionao kama tulio na wenzetu wanaoamini kuwa tutaendelea kwa kutegemea misaada ya hao hao wanaotutengenezea zawadi ya magonjwa.
 
Hii inasikitisha sana
C:C Nyani Ngabu BAK Hii habari naona ndo imepakuliwa youtube juzi


Inasikitisha sana na hilo limegunduliwa na kuwekwa bayana ss hivi lkn pengine ni zaidi ya miaka ninda miaka rudi lnafanyika hilo kwa makusudi mazima.tulianza na chanjo moja au mbili wakati mtoto akizaliwa miaka hiyo ya 60s na 70s lkn leo tuangalie mtoto amepangiwa chanjo ngapi?ni muendelezo wa ajenda hiyo hiyo ya kupunguza idadi ya watu duniani na kuangalia maskahi yao tu." This is unfair "
 
Hatutoki kwenye kona hii wazungu pori wamebana akili zetu kila pembe
 
Inasikitisha sana na hilo limegunduliwa na kuwekwa bayana ss hivi lkn pengine ni zaidi ya miaka ninda miaka rudi lnafanyika hilo kwa makusudi mazima.tulianza na chanjo moja au mbili wakati mtoto akizaliwa miaka hiyo ya 60s na 70s lkn leo tuangalie mtoto amepangiwa chanjo ngapi?ni muendelezo wa ajenda hiyo hiyo ya kupunguza idadi ya watu duniani na kuangalia maskahi yao tu." This is unfair "

Ni namna ya kutufanya tutumie akili zetu wenyewe na kuacha ujinga wa kutumia za wengine.
 
Lakini tutafika kweli kwani kila akiibuka mtaalamu mzuri su hasha ukasikia kachukuliwa na WHO au mashirika mengine makubwa ambayo nayo pia hatuna imani nayo yameundwa na hao hao wenye malengo yao dhidi ya ubinaadamu .so ifike wakati tuamke turudi kufanyekazi kwa ajili ya jamii yetu
 
Genetics will normally favour black...stay put just relax Africa is safe
 
Hili swala la kununua ndege watu wanaliangalia kwa ufinyu bdala ya mapana, Kununua ndege sio shida SHIDA ni kuendesha shughuli yenyewe ya usafirishaji kwa ufanisi!! je tunao Aviation enterprenuership ya kutosha kushindana na soko lililopo?? Angalia juzi precision walichowahi kulifanya. Namuonea huruma DG wa hilo shirika. Sina hakika kama SWOT analysis na feasibility study zilifanyika na kuonyesha kuwa kunahitajika ndege mbili na baada ya muda mfupi Dreamliner moja/mbili. .. Mbaya zaidi tukianza na kuhalalisha mradi huu kwa eti ''Nauli za chini'' - Under cutting
 
Watu weusi hawajiamini kabisa, yaani akipatwa na jambo flani anamrushia mzungu lawama.

Si ajabu kuna watu wanalala njaa halafu wanawasingizia wazungu.

Haileti mantiki kusema eti wazungu wanaweka sumu kwenye aidha dawa ama vyakula vya watu weusi then wazungu hao hao wakienda kwenye nchi za weusi wanatumia dawa na vyakula bila precautions.

Ni mara ngapi mmeona watalii, watafiti, ama wanafunzi wa kizungu wakihudumiwa kwenye migahawa na mahoteli yanayomilikiwa na watu weusi?

Halafu kwenye issue ya GMO nayo ni kama hadithi za Abunuasi tu.
GMO ni pale ambapo higher organism wenye production ama growth rate ndogo wanatumia genome za lower organism kuongeza kasi ya uzalishaji ama ukuwaji.
Sasa kama mtu atakula chakula kilichozalishwa kwa njia ya Genetic Modification, hawezi kudhurika na genes zilizotumika kwenye GMO kwani wakati wa digestion ata-secrete enzyme[Nuclease] kwajili ya kuharibu zile genes za GMO.

Ingawa ni jambo jema kuhakikisha usalama wa vyakula, lakini kwa wakati huu watu weusi ndo katili dhidi ya ubinadamu kuliko wazungu.
 
Back
Top Bottom